mtumbuavipele
Member
- Dec 22, 2015
- 17
- 27
Habari wanajamvi,
Naombeni mtu yeyoye mwenye namba za madalali wa nyumba Mwanza maana nahamia Mwanza na nahitaji makazi.
Ahsanteni.
Naombeni mtu yeyoye mwenye namba za madalali wa nyumba Mwanza maana nahamia Mwanza na nahitaji makazi.
Ahsanteni.