Recent content by mtudedewaa

  1. mtudedewaa

    Kwanini Kitabu cha Enock kiliondolewa kwenye baadhi ya Biblia?

    Kitabu cha Enoki (The Book of Enoch) ni maandiko ya kale ya kidini ya Kiyahudi yanayohusishwa na Enoki, ambaye alikuwa babu wa Noa. Ingawa si sehemu ya maandiko rasmi kwa dini nyingi za Kiyahudi na Kikristo, kitabu hiki kimekuwa na ushawishi mkubwa, hasa katika Ukristo wa mapema na katika baadhi...
  2. mtudedewaa

    Jirani anafuga nguruwe wananikera sana, nifanyeje ili wafe?

    Fanya ivi: tazama video hii alafu mshauri afuate mbinu hizo
  3. mtudedewaa

    Maisha na Falsafa yake

    " Tena maisha yanasifa moja kwa kila mwanadamu kama ifuatavyo, watu wengi wamekuwa wakisema kuwa maisha ni magumu kwa sababu ya changamoto" ∆ Mungu aliyaweka maisha ya mwanadamu katika mfumo wa changamoto ( na sio ugumu). Kila changamoto Ina jibu lake, na mungu hampi mwanadamu changamoto...
  4. mtudedewaa

    Maisha na Falsafa yake

    " Maisha ni mda anaoishi mwanadamu toka kuzaliwa kwake mpaka kufa kwake." Nionavyo Mimi: Maisha ni muda baina ya sasa na mwisho wako. ( Life is a pace between NOW and your END)
  5. mtudedewaa

    Utata wa swali hili ni kama halina majibu

    Anza na jina lako, Jina lako limebeba sababu halisi ya wewe kuwepo duniani. Kila kitu duniani kina jina, angalia nguo ulizo Vaa zote zina Lebo ( upande wa nyuma wa nguo Kuna kalebo kana jina mf: adidas, puma, Nike), viatu , magari, wanyama, miti, cement, ndege, simu, t.v Yani Kila kitu kina...
  6. mtudedewaa

    Je, umeweza kujibu swali hili maarufu? Kati ya kuku na yai nini kilitangulia?

    Jibu ni kwamba yai lilikuja kwanza. Hii ni kwa sababu mayai yamekuwepo kwa mamilioni ya miaka na yametagwa na wanyama ambao hawakuwa kuku. Kuku wa kwanza, kwa maneno ya mageuzi, angeweza kuanguliwa kutoka kwa yai lililowekwa na aina tofauti kidogo ya ndege, kutokana na mabadiliko au mabadiliko...
  7. mtudedewaa

    Utamu wa mkopo umetumiaje

    Ulikosea hesabu ndogo .... Ulipaswa kufanya hivi: hitaji lako ni 18M Ungetafuta wewe binafsi asilimia 60% ya pesa yote unayohitaji. 60% ya 18,000,000/= ni 10,800,000 Alafu ndio UKAKOPE 40% iliyobakia. Ambayo ni 7,200,000/= Ungejipa unafuu katika kuirudisha iyo 7.2M Sio kweli kwamba kama...
  8. mtudedewaa

    Andrew Tate ni nani?

    Andrew Tate ni mjasiriamali wa marekani na mtu ni wa mitandao ya kijamii. Anajulikana kwa maoni yake ya kutatanisha na mara nyingi ya kutofautisha, ambayo yamemletea ufuasi mkubwa kwenye majukwaa kama vile Twitter na YouTube. Pia amehusika katika mabishano kadhaa ya hali ya juu na vita vya...
  9. mtudedewaa

    Kufungua kituo cha afya kwa mtaji wa Tsh milioni 200

    Sidhani ... Iko hivi: akifungua kituo Cha afya yafuatayo ndiyo yatakayoleta mapato. 1. Kupima afya. hapa inaeleweka kupima damu kubwa (BS), choo(stool), consultation( kumuona daktari) hapa Kila kimoja Kila bei yake. Mtu kaungua na maji sjui gesi mara mtoto kavunjika mkono. Hapa ndio kituo Cha...
  10. mtudedewaa

    SoC02 Na Masters yangu, niliamua kwenda kulima Mboga mboga za kuuza baada ya ajira kuwa ngumu

    Nina mpango kama wako mkuu, shamba liko upande wa pili wa mlangarini yaani kikwe (opp dashir lodge) kama unashuka maweni karangai. Naomba mawasiliano
  11. mtudedewaa

    Nina mtaji wa Tsh. 200 Milioni, ninataka kuwekeza katika biashara ya mbao kule Mafinga

    Mawazo tu... 200M unapata bus jipya zero km aina ya zhuton na nyunginezo Kwa mchina hapo DSM BREAKDOWN Bei ya bus 180M Trip Moja ya DSM to Arusha Level seat watu 60 * 40,000/=tsh (nauli) Totals to 2,400,000 Minus 1,000,000 mafuta Miscellaneous (dreva 50,000 Kwa siku) Kondakta, faini...
  12. mtudedewaa

    Je, kuandaa kombe la dunia kuna faida au kamari kubwa? Kwanini nchi zinapigania kuwa mwenyeji waandaaji?

    mpira wa miguu ndio mchezo mkubwa kelele zote zitakoma baada ya refa kupiga filimbi ili mashindano yaanze. Mchezo unaounganisha watu wa uchumi, utamaduni, lugha na dini mbalimbali. Hongera kwa soka Cheers to Qatar!!
  13. mtudedewaa

    Je, kuandaa kombe la dunia kuna faida au kamari kubwa? Kwanini nchi zinapigania kuwa mwenyeji waandaaji?

    Kombe la Dunia ni moja ya njia kubwa inayotumiwa kuinua picha ya nchi ( country's image) Kwa mfano: Urusi baada ya vita vya Crimea 2014 ilitumia kombe la dunia la 2018 kuongeza taswira yake/ kujisafisha Rais wa FIFA alitoa maoni mazuri Urusi imebadilika baada ya mashindano hayo. Kwa bahati...
Back
Top Bottom