Recent content by MTU WA VITA

  1. M

    UHALISIA: Kilichomtokea Dr. Ulimboka mwanzo-mwisho...

    nafikili kwa uchungu sana lakini damu itwalipwa si mda mrefu kwani hata MUNGU wa haki sio mdhalimu kiasi hicho kuacha jambo baya kama hilo naam hakika yake p na k wapaswa kujibu kama si kwa wannchi basi wakiwa pekeyao MUNGU ata wadhibu vikali
  2. M

    Afisa mkuu wa polisi dar apewa kipigo na madaktari na kuvunjwa meno

    Sijauzunishwa kabisa na kupigwa kwa huyo polisi zaidi sana nahisi alikja kutaka kumalizia dr wamelaaniwa hawa wakija tena wapatiwe zaidi yahicho
  3. M

    Mtizamo tofauti kuhusu kipigo kwa Dr Ulimboka

    WAZILI MKUU [PINDA] BILA SHAKA NA RAISI WAKE KIKWETE WANAUSIKA NA MAJARIBIO YA MAUAJI YA ULIMBOKA KWANI MUNGU AME IHIFADHI BADO ROHO YAKE IWE HAI , SASA HUYU PINDA ALIKUWA NAMAANA GANI KUSEMA LIWALO NA LIWE LAKINI MADAKTALI WATARUDI KAZINI HAKIKA ALIKUWA ANAJU KILA KITU KUWA DR AMEKWISHA KUFA...
  4. M

    Mahusiano ya kimapenzi kupitia facebook

    Dhambi mbaya sana na tamaa nayo mbaya sana kimsingi hakuna mapenzi katika fb ni uchafu tu wa kawaida na kudanganyana
  5. M

    Naibu amiri wa jumuiya ya uamsho awasili Zanzibar akitokea Oman

    Tatizo hapa ni kushughulikia muungano kwanza tuoondoe utata uliopo na kupingana ka katiba ya muungano na zanzibar
  6. M

    Wabunge EALA kulamba shs 17 milioni kwa mwezi

    Shame upon the gorvements and hao wabunge kwani wao nibora kiasio gani kuliko walim na madaktari viongozi hawa hawana tofauti na taylor nafikili kuna haja ya kuharakisha mageuzi katika hizi serikali za kishetani
  7. M

    Chadema jimbo la ilala limekwisha mtimua katibu na mwenyekiti wezi

    CHAMA CHA DEMOKRASIA JIMBO LA ILALA KIME MTIMUA ALIE KUWA KATIBU NA MWENYEKITI KUTOKANA NA USHILIKI WAO MKAMILIFU KATIKA KUFUJA FEDHA ZA CHA ZINAZO PATIKANA KUTOKANA NA WAFADHILI KWA CHAMA KATIKA JIMBO HILO TAYARI MTU MMOJA KWA JINA ANAITWA MWAMPAMBA ALIE KAIMISHWA KWA MUDA UKATIBU YEYE NAE...
Back
Top Bottom