Bima ni utapeli tu bora mtu utumie cash
Mwaka jana brother angu alivunjika mguu kwenda Hospital et wanadai Bima haihusiki na upasuaji na ni NHIF ni huzuni
"Bima ni Utapeli tu"
Mimi ndio maana nilifanyia harusi yangu kijijini kwa Wazee mana nilijua watu wa kijijini kuwapeleka Ukumbini mmmm kasheshe
Sherehe za vijijini ndo unyama
Yaani ng'ombe zinachinjwa mnakula nyama mpaka siku ya 3
Aisee ni kama umekopi maisha yangu Yaani Hawa viumbe sijui wana nini Yaani drama zote anazokuonesha ww na mimi wangu ni ivo ivo kwa kweli wanawake ni kazi sana kuishi nao
Wakuu za Usiku huu
Leo katika Harakati za Kilimo wakati Jembe la Trekta linapita kuna sehemu likakutana na Jiwe gumu sanaa na kuna alama ya zege la kutisha baada ya Kuuliza wazee wakaniambia Hapa pana Sanduku la Mjerumani na kwa maelezo yao Masanduku hayo yanakuwa na vitu vya thamani so kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.