Now days biashara iko mitandaoni lakini SALUM S HEMED anakubali kuchafuka na kuharibu biashara yake kwa kutokuwa mkweli na muanifu kutokana na hili siwezi tena kununua bidhaa mtandaoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni story ndefu sana ila jamaa ana Tv zangu mbili tangia mwanzoni mwa December tumefanya biashara fresh lakini kupata mzigo wangu imekuwa mtihani...kuna hatua ambazo tayari nishazichukua na ninaamini kupitia haya ninayoyafanya sasa hivi tv zangu nitazipata
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru sana 'bwa' tajiri Salum S Hemed nimepokea mzigo wangu hapa Mtwara ukiwa salama salmini.
Tv LG 49 Inch 1,050,000
Tv LG 43 Inch 770,000
Brand New with two year warranty.
Wall Blacketts
HDMi Cables
Flash Disc GB 32
T-shirt mbili za offer
Hahahah labda inawezekana itakuwa ziko nyiiingi kwenye hilo andiko lake kitu ambacho kinadhihirisha ni stori tu kufikirika na mambo ya cinema cinema
Sent using Jamii Forums mobile app
Tangia Mourinho amepewa jukumu la kuinoa klabu ya Manchester United msimu huu wa 2018/2019 utakuwa ni msimu wake wa tatu na tayari amekwishafanya usajili wa wachezaji 11 hadi sasa ambao wanne kati yao Paul Pogba Henrikh Mkhitaryan Eric Bailly na Zlatan Ibrahimovich aliwasajili katika msimu wake...
TGFA ni Tanzania Government Flights Agency ni chombo cha serikali ya Tanzania wanazo ndege kadhaa ambazo huzikabidhi taasisi nyingine wazifanyie kazi hata ile ndege ya Rais iko chini ya TGFA kwa ATCL hii itakua ni ndege ya tatu kukabidhiwa kutoka TGFA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.