Recent content by MTU ALIYE NYIKANI

  1. MTU ALIYE NYIKANI

    Azam washusha vifurushi rasmi sasa ni 8000 tu kwa mwezi

    Kama ni kweli hili unalolisema ndugu basi walichokifanya jana sambamba na sherehe yao kuuubwa ni UTAPELI mkubwa sana sana
  2. MTU ALIYE NYIKANI

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Sisi tunasubiri Angel azingue tu tuje na PASI yetu ya mkaa iliyokolezwa vizuri
  3. MTU ALIYE NYIKANI

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Huo mzigo hapo unasugua na kusafisha na kuondoa kabisa hadi dhambi
  4. MTU ALIYE NYIKANI

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Anajulikana kama GINIMBI wa TUNDUMA[emoji3][emoji16][emoji16]
  5. MTU ALIYE NYIKANI

    Yuko wapi Vengu-mchekeshaji wa comedy

    Kama bado atakua anaumwa kama taarifa za awali zilivyosema (ingawa hazikufafanua), Basi huyu ndio atakua mtanzania aliyeumwa/aliyeugua kwa muda mrefu zaidi. Cha kushangaza zaidi kuhusiana na huyu jama hakunaga hata rumous mtaani ya kinachoendelea zaidi ya majibu ya mkato kuwa ni Mgonjwa
  6. MTU ALIYE NYIKANI

    Siku yako ya kwanza kuzama Chumvini

    Ananyonya DuShe ya Mwamba wirelessly[emoji2]
  7. MTU ALIYE NYIKANI

    Lipi ni kufuli imara zaidi kufungia geti la duka, nyumba au stoo?

    Mzigo huo hapo, labda wa hack ukuta au wang'oe geti lenyewe
  8. MTU ALIYE NYIKANI

    Kisa cha Mimi kugombea demu na Jini

    Mleta mada tunaomba usituadhibu kwa makosa ya Moderator, tuna kiu sana na hii stori. Suala la Mods we Mkabidhi Bwana Jini au yule Babu wa Zenji amalizane nao leo usiku ili kesho washindwe kwenda haja kutwa nzima.
  9. MTU ALIYE NYIKANI

    Kisa cha Mimi kugombea demu na Jini

    Kwani Mkuu huna Mawasiliano na Bwana Jini Bong'ozi umchomee huyu Moderator ili usiku huu amuwashie moto aache shobo na Nyuzi za watu[emoji16] NB: Kama kuna gharama naahidi kuchangia nusu gharama[emoji16]
  10. MTU ALIYE NYIKANI

    Kisa cha Mimi kugombea demu na Jini

    Mi niwataadharishe tu wote mnaoufuatilia huu uzi kuwa Bwana JINI kashashtukia kuwa siri zake zinawekwa hadharani, hivyo leo msilale kizembe atashindwa mtu kwenda haja kesho.
  11. MTU ALIYE NYIKANI

    Kisa cha Mimi kugombea demu na Jini

    Kazi Unayo Chalii, Ngoja ni UNSUBSCRIBE fasta huu uzi nisije nikaamka asubuhi nimebon'goa na nishindwe kwenda haja siku nzima[emoji16]
  12. MTU ALIYE NYIKANI

    Njooni ndugu zangu mnishauri

    Naunga Mkono hoja ila nionbe hiyo JUMAMOSI tunagawane, mimi niwe mchana wewe umalizie usiku[emoji2]
  13. MTU ALIYE NYIKANI

    Vitu vya uongo tunavyoonyeshwa kwenye muvi za kizungu

    Pi pi pi pi pi pipipipipipipipipipipipi Ka-Booooooooom[emoji3]
  14. MTU ALIYE NYIKANI

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Makofiiii[emoji16]
  15. MTU ALIYE NYIKANI

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Yaani mpaka leo nilikua sijaielewa kabisa hii picha.
Back
Top Bottom