Makala ya kwanza inayofahamika kumuhusu Bwana Edward Modrake inapatikana katika Gazeti la Boston Post toleo la mwaka 1895 iliyo chapiswa na Mwandishi Mashuhuri wa hadithi za kufikirika (fiction stories) wa wakati huo Bwana Charles Lotin Hildreth.Makala hiyo inaelezea Visa mbalimbali ambavyo...
Mkuu Tofauty naomba unijulishe zaidi juu ya kununua domain nimefanikiwa tu kufungua blog lakini bado cjafanikiwa zaidi mbele kwenye hayo mambo ya domain na je vp kuhusu ile mil2 ya TCRA,napenda pia nami kuwa brogger na pia natanguliza shukrani zangu...Asante
Kwa muda mchache ambao nimefanikiwa kuwapo Jamii forum nimegundua kuwa jamii forum wamejaa Walio tumbuliwa(vyeti feki),Mafisadi wakubwa,wasio na kazi(oya oya),Wapenda maisha ya mtelezo,Wazee wa kubet,wasaliti wa serikali,wakina delicious,Ma great...
Daah umenikumbusha mbali mzee...nlishawahi kunasa nyuma kwenye dirisha la shule afu mwalimu anakuja mbio mkononi kashika fimbo nlitaman niache kichwa me nikimbie
Ongera mkuu[emoji122][emoji122][emoji122] kwa maamuzi magumu uliyo chukua... Inawezekana kuacha puli lakini sio kazi rahix.... Fanya sana mazoezi mkuu... Hata mim niliacha kupiga puli miezi mi4 iliyopita..na xahz mambo xhwalii
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kusema hivo ni unyonge wa akili na ni kuendeleza unyonge mwafrika alio kuwa nao toka enzi za ukoloni.Kumbuka kuwa na sisi tulikuwa na mifumo yetu ya kisiasa Majeshi viwanda vyetu japo vilikuwa bado ni local industries. State kama Buganda walikuwa na kiwanda cha nguo, Mahakama, na hata jeshi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.