Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,712
Umenikumbusha mbali asee.. utotoni hii michezo nimecheza sana, shida yake ukipanic ukiwa katikati ya tundu huwezi toka the more u panic the more tundu linazidi kuwa dogo...
Hatari sana akitokea snake hapo
Noma sana mkuuAtamwangalia tu halafu atasema hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Swali LA mwanaume wa darSasa hapa atatokaje wakuu
Hii inaweza ikawa kweli.