Nimeanza kusikia neno Information super highway kwenye CNN miaka ya 90 ,ninafikiri ni 92 , mwaka 1995 nilikua chuo kimoja Dar ndio nikasikia wana install Windows 95 , wakawa wana dai ni ina file kubwa na ina chukua zaidi ya 8 hrs to install , ilikua bado ushamba wa waalimu kuruhusu kutumia...
Natafuta nyimbo ina sema "We dont know what love is" halafu ina sema "Sooner or later " na kuna part mtu ana rap halafu kuna kiitikio kina sema "Do the right thing" , halafu rap ina endelea , ilikua ni ngoma moja kali sana club enzi hizo , ni wimbo wa miaka ya 90's , nani ana ifahamu...
Kweli watu tuna tofautiana , miaka 1992 ulikua kijijini nini ?, nilidhani ungeuliza miaka 1930 huko labda , Miaka hiyo ya 1992 wenzako tulikua tuna watch Cosby Show, Different World ,Fresh Prince of Bell Air, Soul Train ,MTV the Grind , Club MTV (with DownTown Julie Brown) ,Yo rap MTV ,Top...
Hii ajali sidhani kama ni ya huyo wa Channel Ten, hii imetokea Hailleselasse road , Masaki mida ya saa 11 alfajiri , hiyo sio miili ya marehemu bali ni majeruhi, walikua wanne ,wanawake wawili na wanaume wawili.
Dreva alikuwa mwanamke ila inaonekana ilikua gari ya mwanaume ambaye...
Hata huko America, ukija kwa masuala ya weusi bado light skinned people wanapata nafasi zaidi ya watu walio na muonekano wa Lupita , wote kina Beyonce Rhyhana na wengine , weupe wao una wasaidia ku market biashara zao .
Unajua lakini ni kwamba anayo Oscar? hayo masula ua good upbringing sio ishu in Hollywood , wote wachafu humo,kilicho mtoa Lupita ni bahati, ,alisoma chuo bora na ku pata connection ya kufanya field kwnye movie set kama assistant toka hapo akaanzia chini kabisa kwnye theater acting . Kilicho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.