Marekani kuondoa wanajeshi wake Syria

Marekani kuondoa wanajeshi wake Syria

Trump ni mfanyabiashara mahiri , bado ana instincts na mentality ya kibiashara na sio ya kisiasa.. Alivyosema "America first" ina maana watu hawakumuelewa ? Hayuko tayari kupambana kuimarisha uchumi wake halafu wakati huohuo aone rasilimali ikipotea hivihivi katika kupeleka majeshi sehemu zisizomhusu kichwa wala mguu, ndio maana hotuba zake zote anafocus masuala ya kiuchumi...Saudia ni mshirika wake mkubwa lakini kamwambia usipolipia kukutunza utaporomoka in 2 weeks, so maamuzi yake yote yanalenga kuokoa gharama na kuongeza kipato, masuala ya kisiasa sijui ya uhusiano wa kimataifa usiokuwa na tija kiuchumi huwa haelewi kabisa , hajali ya jirani wala ya mshirika, refer kodi alizowaongezea washirika wake Canada, Japan, China, UK, ukuta wa Mexico, yeye anachoangalia ni pesa ( America first ) ngonjera za mahusiano ya kimataifa ni lugha asiyoielewa kabisaaaa.
 
sioni kama ni busara kuanza kuingiza haya masuala na uhasama.Wanajeshi wanafamilia zao marekani sasa kama IS hawapo warudi nyumbani tu.Halafu kitendo cha kuiingiza urusi pia ni upuuzi tu maana hakuna kitu kama hicho maana sion kwamba ni msingi upi unaotumia russia kumtisha US.Hayo ni maamuzi tu ya Trump basi.Na IS wakipewa nguvu basi majeshi yatarudi.
Yani unasema Urusi sio kitisho kwa US kwa namna yoyote.

Are you serious???.
 
Yani unasema Urusi sio kitisho kwa US kwa namna yoyote.

Are you serious???.
Ndio.sio tishio kwa namna yoyote ile.Ni kama nchi zingine tu.otherwise nambie nini maana ya tishio.Na urusi anamtisha nini US?
What i mean ni kwamba hayo ni mashindano tu ambayo wewe na jiran au rafiki yako unaweza kuyafanya lakin hayana hostility ndani yake kama ilivyokuwa enzi za wakina lenin.Nchi ambazo zina hostility kwa US by now siion kabisa.

saiz kuna mashindano ya kiuchumi.na kidiplomasia na nguvu ya silaha/jeshi ni kwa kiwango kidogo tofauti na zaman.Nchi kama Iran,Turkey na zinginezo za kiarabu hostility ipo kwenye uchumi.mambo ya vita yamepitwa na wakati
 
Waziri Mkuu wa Israel Benyamin Netanyahu amekasirika sana kusikia US anaondoa Majeshi na operation zake Syria akisema huu ni Ushindi kwa Iran kwan Iran itajitawala sana na kuanzisha Hezbollah nyingine Syria tena mpakan na Israel...Hivyo Netanyahu kasema atavishambulia vikosi au majeshi yanayosimamiwa na Iran swali la kujiuliza kwann Israel isivishambulie hivi Sasa.....Viongozi wengi hasa waandamizi wa US wamekasirishwa na hatua ya Trump kuviondoa vikosi hivyo haraka bila ata kiwashirikisha lakin wajuzi wa Mambo wanasema wakati wa kampeni Trump alisisitiza kuviondoa vikosi hivyo km akishinda akisema US sio world policeman wa middle East na uchaguzi ni mwakani tu 2020 hivo anatimiza ahadi....Sababu nyingine ni Turkey kuendelea na misimamo yake isiyoyumba kwa wa Kurd ambao US amekua akishirikiana nao na Turkey wanawaona hao ni magaidi...Sababu ingine ni uimala wa Russia,Iran,Hezbollah,na majeshi ya Asad kuendelea kuyachukua maeneo mengi hivyo wangejikuta wanaanza mgogoro wa hao ambao wapo kiuhalali tofauti na US....Sababu nyingine ni Uchumi kwan nadhan wafadhili wa US alikua ni Qatar,UAE,Saudi Arabia kuendelea kutofautina hivyo kusitisha ufadhili...
Huyo nawe siku hizi kawa poyoyo tuu.full taarabu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom