mm naona tuonane tu ..manake mi ntafka fainali na ww utakimbia chumbn na chup mkonon...manake haiwezekan uwakimbie wote hao kwanzo wa league
Sent from my SM-G361H using JamiiForums mobile app
code switching and code mixing ...anaoaswa kabsa raisi kufany hvo. so tulia apo hata ww unaongea kwa kuchanganya lugha kwa ajili ya kuweka msisitzo ..mkubwa rais yupo sahih sana lakn pia kikubwa ni ujumbe ufike kwa walengwa kwa namna zote yan
si wanasema kawa Amerca is the Land of freedom.imekuaje tena.kule uhuru wa kuongea unatakiwa ukashfu nchi yako mwenywe kama baadhi ya watanzania waliokosa uzalendo kina mange kimambi..apo hufanywi kitu kweli
biblia inasema kwamba watu waoga hawendi mbingun ..kakobe umeogopa kurudia ulichokisema sas dah naona na ww umeenda kinyme na biblia sas mbingn vp??
Sent from my SM-G361H using JamiiForums mobile app
mueshimiwa unafanya mamb makubwa ya kiutu na uzalendo wa watu wko.tunakupenda sana maisha maref kwko
Sent from my SM-G361H using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.