Huyu si mwanasiasa anachotaka nikupata umaarufu tu,Potea potea umeshaambiwa katka orodha ya mafisadi kikwete yumo mbona humzungumzi wakati yeye ndio anatawala nchi hivi sasa? Huna jipya.
Hii ndio siasa ya Tanzania,nyie wapinzani vipi?kila mnapopata nguvu ya kuivuruga ccm mnagombana,zitto ameondoka na kundi na wewe slaa unataka kuondoka na kundi.vumilieni hawa ccm watoke tumewachoka.
Kama huna cha kuandika nyamaza kimya,kama umekasirika jinyonge. sawasawa,umesahau lukuvi alivyozungumza kanisani?hukusema kwa vile yuko kanisani kwanini azungumzie siasa? Na msigwa hakuwepo kanisani lakini amezungumzia habari za kanisa,kinacho kukera nini sasa?usiwe mjinga wewe kuwa muelewa.
Hawataki kwenda kwasababu niusanii mtupu ule wanaoufanya kanisani,wale wanaowaombea kanisani ni wagonjwa wa uwongo,sasa wanaogopa kuwaombea wagonjwa wa kweli waliopo mahospitalini kwani biashara yao ya kudanganya watu itakua mwisho wake.
Zile kelele za makwaya huzisikii,anza kanisani kwako waambie wachungaji wako sauti hizo nyimbo zenu za makwaya zisitoke nje halafu ndio Useme ya mskitini,kama huwezi nyamaza kimya.
Mara nyingi nawaskia watangazaji wa Tv au Radio wanapomaliza kipindi au kuaga wakitamka maneno haya (alamsick), sina uhakika wa spelling zake.
Nini maana yake? Na spelling zake ziko vipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.