Recent content by MTONILIST

  1. MTONILIST

    Tuelewane: Amini usiamini, njia hii haina tofauti na ile aliyofanya Hayati Magufuli

    These are game theories in Politics. Tuwe wapole tutaona mengi 2025 watakaa pembeni wengi.
  2. MTONILIST

    Mbunge wa Ilala, Zungu ateuliwa kuwa mwenyekiti wa Bunge

    inamaana chenge alikuwa mwenyekiti wa muda au
  3. MTONILIST

    Rasmi: Majina ya Waliopangiwa kujiunga na Kidato cha Tano, Julai 2015

    ingiza jina la shule yenyewe itakuletea option wakati unaandika kisha utabonyeza retrieve itakuletea majina ya wote waliochaguliwa ndani ya shule yako
  4. MTONILIST

    Rasmi: Majina ya Waliopangiwa kujiunga na Kidato cha Tano, Julai 2015

    Hapa inaonekana bado system haipo vizuri kwakuwa leo ndo wamedisplay. halafu mbona hawajaweka maelekezo jinsi ya kuweka kituo alichosoma mtu. :spy::spy::spy:
  5. MTONILIST

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    nenda lushoto aje iringa idara msingi. 0756007610
  6. MTONILIST

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    MIMI MW HAMISI WA SHULE YA MSINGI IRENTE ILIYOKO HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO; KATA YA LUSHOTO MJINI. NATAFUTA MWL WA KUBADILISHANA NAE VITUO VYA KAZI KUTOKA HALMSHAURI YA WILAYA YA MUHEZA au HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA. KWA MAWASILIANO ZAIDI NITAFUTE KWA NAMBA HIZI:- 0789351166N...
  7. MTONILIST

    TANZIA: Mufti Issa Shaaban Bin Simba afariki Dunia

    rip mufti nikweli imethibitishwa
  8. MTONILIST

    Spika Makinda ahairisha bunge ghafla baada ya muongozo wa Mh Mnyaa.

    escrow ilimcost zitto aende kwenye chama chake cha act akale bata huko cdm hapamfai. ila jamani mama makinda kuna muda anatumia busara sana AG kaharibu mambo sijui ana taaluma kweli inayomruhusu kuwa katka nafasi hii.
  9. MTONILIST

    Elimu maalum Tanzania

    mlugulu umesema kweli fursa zipo ila watu wakomae hususan kwenye maandiko
  10. MTONILIST

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Babati vijijini nije babati mjini au arusha mjini au korogwe au tanga mjini idara msingi. mawasiliano 0756007610
  11. MTONILIST

    Mjue Edward Lowassa: Hii ni CV yake

    kila lakheri mzee wetu lowasa ikulu ni yako hakuna wakukupinga.
  12. MTONILIST

    Vurugu bungeni zasababisha Bunge kuahirishwa asubuhi hii

    jioni hii pia alishindwa kuendelea alisimama na kuwaambia naahirisha tena hadi kesho alooo ni sheedah.
  13. MTONILIST

    Naweza piga kura kesho?

    Kwa mujibu wa sheria inayosimamia uchaguzi huu kama hujajiandikisha huwezi piga kaka mimi mwenyewe niliandikisha wapiga kura chakushangaza sijajiandikisha yaani ni shiidah. Hata wananchi waliojitokeza ni wachache sana
  14. MTONILIST

    ITV mnatia shaka na aibu kwa hili!

    Nahisi ITV huu uzi wameuona kwani nimefuatilia naona sasa wanakuja na ushauri wa humu ndani kidogo afadhali ngoja tuone leo na kesho siku ya mwisho ya kampeni itakuaje.
Back
Top Bottom