kabla hujaenda kwenye hiyo interview mara nyingi huwa ushajua wanalipaje cheza na hiyo range mfano position unayoomba mshahara wake ni laki 9
basi ukisema 7.5,Au 1 m bado utakua hujakosea
Kila mtu ataongea lake hapa. ila tukitoa longo longo zote turud kwenye uhalisia
kwa wanaojua maana ya Elimu bora
watakubali tu kuwa katika Taaluma ya Biashara hakuna chuo kizuri kama MUCCOBs, but kwenye ajira hatuangalii chuo kizuri wala chuo maarufu tunaangalia uwezo wako katika kuchanganua...
Serikali sijui hata ilikuwa inawaza nini ku withdraw account NMB but kama ulivyosema mkuu 10% itakuwa inahusikika
Sasa najiuliza kama serikali ina miliki zaid ya 30% hapa haioni kuwa Taasisi hii ikiyumba na wao wameingia hasara
NMB wapo vizuri na kama ni mfanya biashara wana access ya mikopo mingi na kwa uharaka ikiwa na riba ndogo,pia kama biashara zako ni za ndani basi huitaji hizo Master card na Visa sababu ukizitumia pia zinakuongezea gharama tu,NMB wana matawi kila sehem na ndo Bank pekee inayomiliki ATM yake...
It's one of the Currently Classic Bongo Movie kwakweli
Imekaa Kitanzania unawezaa kaa Na wazazi Na muiangalie,pia Nimependa the story ilivyokaa Na mtunzi amejitahidi kuendeleza style za uncle Jj
All in All movie ni nzuri Sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.