Wewe unadhani mleta mada ameileta kwa dhumuni la kutaka kujuwa kweli au ameleta ili awapate wenzie wamsaidie kuendeleza kebehi zake juu ya Qur-an? Wapo waliocoment kwa kebehi ambao wapo upande wa mleta mada,je umeona mleta mada ameshuulika nao kuwakemea kama dhamira yake ni ya kweli anataka...
Feisal yupo kati kati ya vita ya mafahari wawili wanaoshindana,kila mmoja akitaka kumuonesha mwenzie nani zaidi,Mmoja alianza kumhitaji Fei kati kati ya mkataba wake na klabu yake,kiongozi wa klabu ya Fei akajibu kwa jeuri kuwa pesa ya ukwaju haiwezi kumng'oa Fei Yanga,ndipo mwamba alipoamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.