Recent content by MteuleGM

  1. M

    Aliyehitimu utalii

    Kama kuna mtu yuko Dodoma aliyesomea masuala ya utalii, anitafute inbox tuongee deal ya uhakika. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Nini tofauti kati ya 'tumsifu Yesu kristo' na bwana Yesu asifiwe'?'

    Ningetamani salaam hizo zipigwe marufuku kutumika kwenye hadhara ya watu mchanganyiko. Tuwe na salamu inayoonesha umoja wetu kuliko salaam za kuonesha mgawanyiko wa kidini. Salaam hizo zibaki katika nyumba za ibada tu. Uhuru ni Kazi
  3. M

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nawashauri muwe pro-active ili kuwafuata wateja badala ya kukaa Tu ofisini. Nipo Dodoma eneo la Mapinduzi South, nyumba nyingi zimejengwa na watu wamehamia lakini TANESCO hawaonekani hata nguzo tu hazijasogezwa. Hivi ni kwa sababu ya monopoly au? 0784287233
  4. M

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Lini tutapata maji Bonyokwa Kisiwani? Ahadi zimekuwa nyingi na miaka nayo inaenda mbele.
  5. M

    Natafuta mzani wa duka uliotumika

    Nina mzani mpya umetumika kidogo sana
  6. M

    Kwa mahitaji ya nyumba au chumba cha kupanga Mwenge, Sinza, M/nyamala na Mbezi

    Nahitaji kiwanja cha barabarani kea ajili ya kuweka mashine ya ya kulanda/kupasua mbao. Tuwasiliane fasta ukipata.
  7. M

    Nahitaji miche zao la korosho

    Hiyo Dodoma JKT iko wapi au ndio Makutupora? Hizo mbegu kwa Dodoma zinapatikanaje?
  8. M

    Ufugaji wa kisasa wa Sungura: Ushauri wa masoko na faida za ufugaji

    Sungura pori ninao. Ntafute. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Miliki Nyumba mpya kwa milion 32 tu

    Nataka kujengewa Dodoma. Inawezekana?
  10. M

    Soko la wanaomaliza Masters of Arts Statistics UDSM likoje kwa sasa?

    Kwenye soko la ajira, digrii yako ya kanza ndio basic requirement ya mtu kuajiriwa kama Mtakwimu. Shahada ya pili ni added advantage tu. Itakufaa kwa career progression ukishaajiriwa.
  11. M

    Uzi Maalum kwa wanaouza na wanaohitaji kununua Ardhi

    Industrial plot 8 acres for sale in Kisarawe near cement factory. Contact 0754287233 for details.
  12. M

    Uzi Maalum kwa wanaouza na wanaohitaji kununua Ardhi

    Industriàl area la eka nane linauzwa kisarawe kazimźumbwi karibu na kiwanda cha cement.
Back
Top Bottom