Wakuu hivi sheria ilioanzisha TLS inaruhusu wanasheria ambao ni wanasiasa kujiunga nacho?
Kama jibu ni ndio then inasemaje kuhusu mtu anaetaka kugombea uwongozi wake??
Kama ni hapana sasa ilikuaje Lissu akawa mwanachama?
Nafikiri ni wakati kila mtu atii sheria bila shuruti yaani Lissu aachwe...
Ee Mungu kwanini unaruhusu watanzania wafike huku? Kwanini usiwape hawa viongozi hekima ya kutosha kusema na watu? Inawezekana unataka kutufundisha kitu, Tufungue sisi woye tuone ujumbe ulio ndani ya tukio hili baba!!
Kweli ni mipango mizuri sana. Hata kama hatuaminiani ni lazima kuwashukuru baadhi ya watendaji wa serikali kwa uthubutu wao. Sisemi kwamba ninauhakika wa tija katika hili ila ninachoona ni kwamba viongozi wameanza kuona mambo yanayoeleweka na kuacha zili story za abunuasi kama vile' sasa tuna...
Namuomba muheshimiwa aangalie namna ya kuondoa au kupunguza kabisa ruzuku za vyama vya siasa!! Haki atapunguza idadi ya vyama au kuvishepu i utendaji!!! Uwiiii ni mtazamo tu
Hakuna namna maana upinzani wanashindana na mshindani asiyejua kuna kushindwa, wala hayupo tayari kushindwa!!! Ushauri tuachane na mambo ya uchaguzi ni gharama na upotezaji wa muda tu!!
Haki wakati unaongea!!! Mihuri mihuriii au kuna tusilolijua nyuma ya hiyo mihuri? Any way embu nisaidieni kwani wenyeviti wanamishahara? Kama hawana je wategemea nini kama vyanzo vya vipato vyao? Nitafakuru tu ndugu zangu!!
Huna haja ya kumshambulia mama yetu wa kiimani wala Rosary!!!Pambana kwa hoja ili kumjibu mtoa mada!!.
Bikira Maria na Rosary kwetu kama wakatoliki ni vitu visivyobishaniwa hata mara moja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.