NECTA yawasihi wananchi kuendelea kuwapa taarifa kuhusu watumishi walioghushi vyeti

NECTA yawasihi wananchi kuendelea kuwapa taarifa kuhusu watumishi walioghushi vyeti

ili tuamini kama NECTA watafanyia kazi taarifa zetu za kufchua wahalifu wenye vyeti feki au walionunua vyeti, tunataka kuona kwanza NECTA ikilifanyia kazi hili sakata la huyu mhalifu Bashite aliyetenda uhalifu wa kununua vyeti
Hawachukui taarifa mtandaoni
 
What a shame! habari ya Bashite imeshasemwa kwa zaidi ya wiki mbili sasa, huku baadhi ya watu wakitoa ushahidi wa majina ya watu na shule walizosoma, ikiwa ni pamoja na matokeo ya mitihani yao. What else do you want? NECTA wangekuwa wa kwanza kusema kama taarifa hizo ni za kweli au za uongo. This is all political gimmicks.. my foot!
Hawachukui taarifa mtandaoni
 
Hawachukui taarifa mtandaoni
mbona Diamond walimpiga faini kwa kuona video yake Instagram aliyoipost akiendesha gari huku akiwa kaachia usukani?
kumbe Instagram sio mtandao wa kijamii? mbona wanatmtukuna mkuu kupitia mitandao ya kijamii wanawakamata?
Tuache ubabaishaji,
 
Ishakuwa kero sasa jana uzi kama huu umeletwa jamvini watu wachangie leo tena umeletwa tena hii kero sasa tunaomba uunganishwe
 
kutafuta ushshidi ni kazi ya polisi kwa kushirikia na NECTA. raia wema walishatoa siri ya uhalifu sehemu fulani na kazi ya raia wema imeishia hapo.
Hiyo siri imetolewa kituo gani cha polisi?
 
mbona Diamond walimpiga faini kwa kuona video yake Instagram aliyoipost akiendesha gari huku akiwa kaachia usukani?
kumbe Instagram sio mtandao wa kijamii? mbona wanatmtukuna mkuu kupitia mitandao ya kijamii wanawakamata?
Tuache ubabaishaji,
Picha ni tofauti na maandishi halafu anayetukanwa anakuwa amelalamika ndio mwanzo wa kesi. Makonda hajapeleka malalamiko ya kutukanwa au kukashifiwa na wanaomtuhumu hawajapeleka tuhuma zao polisi au mahakamani. Nadhani utakuwa umeelewa kama bado karibu nikueleweshe.
 
NACTE kama kweli mnatenda haki, na mpo kwaajili ya kuhakikisha watumishi hewa wanatoka kwenye mfumo anzeni na huyo lialia, tuone
 
Hiyo siri imetolewa kituo gani cha polisi?
hivi wale wanaomtukana rais mitandaoni na kukamatwa na polisi, nani hua anaenda kuripoti polisi juu ya watu fulani kumtukana rais?, au polisi wenyewe ndio wanaamua kufuatilia hao wahalifu kwakua ni kazi yao kuthibiti uhalifu?
 
Hovyooo! Mi nawajua kama 6 hv weng wao police na wanajeshi ila bado wanakula mema ya nchi, mmezd maagzo kwenye hamna hafu utendaji 0, anzeni na Bashite hafu wengne tutawataja tena kwa majna na wazifa walionao!
 
Tutoe nin waktii bashitee hawamchukulii hatua na chet chake cha kugushii nonsenseeeee
 
What a shame! habari ya Bashite imeshasemwa kwa zaidi ya wiki mbili sasa, huku baadhi ya watu wakitoa ushahidi wa majina ya watu na shule walizosoma, ikiwa ni pamoja na matokeo ya mitihani yao. What else do you want? NECTA wangekuwa wa kwanza kusema kama taarifa hizo ni za kweli au za uongo. This is all political gimmicks.. my foot!
 
Back
Top Bottom