Wewe Madame S naona kama uko kimaslahi zaidi huyo jamaa yako akichacha unamtupia kandambili zake nje huko na dharau tele....Nini kilikuwa kinakuchanganya mpaka miezi sita hufanyi maamuzi?
Hahahahahahahaahah................nachanganya lugha zote kaka.....hiyo ilikuwa naonyesha msisitizo wa maada tajwa hapo juu............nimeelewa sana wa lugha zote
Kaka umesema kweli kabisa....asante sana na wewe ni mwanaume wa ukweli......hiyo sentensi yako ya kiingereza ndio imenifanya nikuelewe vizuri...................
Hawa TRA hawana huruma na watanzania.....wana roho mbaya sana....kinachofanyika ni uhuni mtupu.....mengine wanatoa vichwani mwao......hawa jamaa wanajiona wao miungu watu.....
Hahahahaha dogo acha ushamba ni mambo ya kawaida......Ingekuwa huko Ulaya na Marekani mambo mazuri basi tungewaona wabongo wengi wakija kuturingishia mambo yao mazuri ya kutoka huko majuu.....kaka kule maisha magumu sana ndio maana ndugu zetu walioko huko wanaogopa kurudi....Tembea uone mengi..
Nakushauri uoe mdogo wa mke wapi itakupa relief kubwa sana kimaisha na kwa kiasi kikubwa atajitahidi kuwalea wanao kwa sababu hata yeye ni sehemu ya familia yako hata kabla ya kumuoa......ukimuoa ndio uhusiano utakuwa mzito wa wenye future nzuri............cha msingi acha pombe au punguza pombe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.