yampwai
Member
- May 16, 2013
- 27
- 6
Ukitaka kujua Wanawake wanapenda Kudanganywa kuliko hata kwenda Saluni We angalia aina ya Maswali anayokuuliza yalivyo.
Unatongoza Demu Mpya halafu kabla hata hajakukubalia anakwambia.
"Naomba nikuulize Swali but please
be HONEST with me, Mara ya Mwisho Kuduu ilikuwa lini"
KHAH!
Hivi kweli hata kama mara ya mwisho ilikuwa Jana jioni na ninakupenda kweli na Iam a very honest Man NTAKWAMBIA KWELI?
Yaani jana jioni nimepiga mechi ya mchangani halafu leo nakwambia I love you, tutaelewana?
Acha tuendelee kuwadanganya mpaka mtakapobadilisha maswali kwenye Questionnaire yenu.
Mnatupa tu stress, Aliyekwambia kuwa Singo kunazuia mechi za Madrid na Azam FC nani?
Tena ntakujibu huku Chozi
linanilengalenga kwa mbali
"Yaani Hata Sikumbuki Aisha,mpaka hata shape ya harage nimeisahau,ni siku nyingi sana"
THUBUTU!
Kitu jana tu!
Yaani unauliza kama Afghanistan
kuna Waislamu?
Unatongoza Demu Mpya halafu kabla hata hajakukubalia anakwambia.
"Naomba nikuulize Swali but please
be HONEST with me, Mara ya Mwisho Kuduu ilikuwa lini"
KHAH!
Hivi kweli hata kama mara ya mwisho ilikuwa Jana jioni na ninakupenda kweli na Iam a very honest Man NTAKWAMBIA KWELI?
Yaani jana jioni nimepiga mechi ya mchangani halafu leo nakwambia I love you, tutaelewana?
Acha tuendelee kuwadanganya mpaka mtakapobadilisha maswali kwenye Questionnaire yenu.
Mnatupa tu stress, Aliyekwambia kuwa Singo kunazuia mechi za Madrid na Azam FC nani?
Tena ntakujibu huku Chozi
linanilengalenga kwa mbali
"Yaani Hata Sikumbuki Aisha,mpaka hata shape ya harage nimeisahau,ni siku nyingi sana"
THUBUTU!
Kitu jana tu!
Yaani unauliza kama Afghanistan
kuna Waislamu?