Recent content by MTANGA712

  1. M

    Keko: Askari Magereza watembeza kichapo kwa raia usiku kucha

    waoga tu wamepiga wanawake na watoto wangekuwa kweli wanataka mapambano na waliofanya tukio wangeenda ule muda walipokosewa wawakute waliofanya tukio mnapiga watu saa 5 usiku wahalifu washaenda zao road.
  2. M

    Saudi arabia yapigwa tena na makombora mji wa riyadhi walengwa

    bendera ya israel na saudia arabia hizo hapo hebu nionyeshe hicho unachosema na uongo wako huna unachojua.
  3. M

    MWAKA 2017 UNAISHA SIONI CHOCHOTE CHA MAANA KUNIFANYA NISHANGILIE ZAIDI YA KUWA NA MAJONZI...

    Katika maisha yangu mwaka huu ndio kwa mara ya kwanza nikiingii mwaka mwingine nikiwa sina kazi ya aina yoyote ya kuniingizia kipato mwaka mpya huu umekuwa wa majonzi sana maana nilikuwa nnafanya kazi kampuni binafsi kutokana mambo ya kampuni kuyumba tukapunguzwa baadhi basi tangu nipunguzwe...
  4. M

    Ufafanuzi: Mimi Deo Kisandu ni Mnyamwezi(Msukuma) sio Msambaa

    bro kisandu uwe unanitag ukianzisha uzi
  5. M

    MISRI: Mwanamgambo wa Kiislam ashambulia kanisa na kuuwa Wakristu 11

    I.S.IS MMEWATENGENEZA WENYEWE SASA WANAWAUA WENYEWE NIA YENU WAUAWANE WAISLAM KWA WAISLAM WAKIWAGEUKIA NA NYINYI MNALIALIA KWANI ASIEJUA WALIYOANZISHA ISIS NANI ,
  6. M

    Rais Magufuli, kuwataabisha vijana kwa kuwanyima ajira au kuwawekea vikwazo hakukusaidii lolote

    watu wanafanya interview hila wanaoitwa kwenye kazi sio waliofanya interview
  7. M

    Hata kama ni kuswali, ila huu si Ustaarabu jamani

    hila kukiwa na ngoma mtaani kwenu wakifunga maturubai barabaranii hulalamiki sababu unaona miuno na shanga hila kuswali hata nusu saa haifiki roho inakuuma.
  8. M

    Mfungwa aliyesamehewa na Magufuli arudishwa jela miaka 15

    amemis kumuona mkaka wake huko jela.
  9. M

    Je wajua "cognitive interviews" za kiintelijensia

    hapa bongo unaminywa pu..bu utasema mwenyewe
  10. M

    Tecno spark k7 na k9 balaa lingine kutoka tecno

    maisha tunatofautiana sana mimi nnazichanga ninunue tecno h5 watu wanawaza iphone x na tecno k
  11. M

    Korea Kaskazini: Maporomoko kwenye mahandaki ya kujaribia nyuklia yaua zaido ya 200

    hv north korea litokee tukio mpate haraka hvyo alikufa rais wao mpaka wametaka wao ndio mmejua
  12. M

    Mtangazaji Khalid Gangana leo umeiaibisha mno TBC1 kwa maswali yako ya Kitoto kabisa

    Bi mkubwa azam tv ikiisha hela hata tbc hataki kuangalia anasema bora asikilize radio na huyo ni muhenga lakini hataki hata kuiona hyo tbc sasa kwa vijana inakuwaje
  13. M

    Israel kumsaidia Trump dhidi ya Kim

    akamalizane na hizbollah kwanza ndio aende north korea
  14. M

    Cheza mbali na IT HACKERS wa N/KOREA.

    wanashindwa kuhack jf mpaka wanapeleka mahakamani kulazimisha wapewe details
  15. M

    Somalia: Watu 300 wafariki kwenye mlipuko wa bomu mjini Mogadishu, 300 wajeruhiwa

    R.I.P RAIA WA KAWAIDA TUOMBEE SANA YASIJE KWETU HAYA MAMBO MAANA PALE MTAA WA KONGO LILE NYOMI NI BALAA.
Back
Top Bottom