Sio kila kinachotoa harufu mdomoni kinahusiana na usafi wa kutokupiga mswaki, ukishafahamu hilo ndio utajua kwamba mwanadamu yoyote duniani lazima atoe harufu kinywani kwake. Kuna wengine wana matatizo ya kiafya tumboni pia.
Hili jambo ni gumu mno kulielezea, na ndio maana hata Dunia ya kwanza...
Kigogo sio mtu mmoja ni group la watu tofauti tofauti, aiwezekani mtu mmoja kujua mpaka mambo ya Nikki wa pili, mke wake kupelekwa Wista’s Inn,taarifa za hali ya ugonjwa wa Hayati Magufuli,yaani yeye kila kitu anakijua hapana siamini kama ni mtu mmoja anayeendesha hiyo show,litakuwa kundi la...
Jengeni ofisi ya kueleweka hili hata sisi wengine tuwaamini, Chama kinataka kupewa nchi kinashindwa hata kuwa na jengo la kueleweka, hizo milion 300 mia 3, kila siku kulipia fain mahakamani mnashindwa kutumia akili mkajenga ofisi nzuri na kubwa tuu.Mnaonekana wababaishaji kwa Watanzania wengi.
Kwa sakata hili la kumpakazia kifo Rais wa Jamhuri ya Tanzania aaah!! kwa kweli sidhani kama kuna mtanazania hata mmoja atawasilikiza na kuwaamini tena, mmejiaribia sana tena sanaa..Nilikipenda sana Chadema lakini kwa sasa nakichukia mnooo.Mmekuwa sio Chama cha siasa bali wahaini sasa na watu wa...
Taarifa gani zaidi na taarifa wameshatoa, Leo mama Tanga, Mama katoa salam za Rais na kasema watu washikamane, sasa taarifa gani hizo mnazotaka zaidi, kama mpo na taarifa zaidi basi zitolewe. Nawaamini sana Serikali kwa hili kuliko Lissu.
Akimaanisha kipindi hiki cha maneno maneno mengi kutoka Ubelgiji, hivyo watu washikamane , kuliko kusikiliza habari ambazo hata hao wanao zitoa awatuambii chochote cha maana, zaidi ya kuuliza maswali tuu , Rais yupo wapi? Rais yupo? Majibu yanatolewa yupo anapiga kazi,lakini bado upande wa pili...
Elimu yako mbovu sanaaa maana unashindwa kutambua maana ya kusoma na kuelimika , unaweza kwenda shule na vyuo mpaka ukazeeka huko na usielimike. Na hili ndio linajionyesha hapa kwamba kwenda kwako shule sana lakini umeshindwa kuelemika.
Mfafanulie swali alilouliza acheni ujeuri wenu wa kielimu,Tambua kuna wengi awajui sio yeye tu je uoni kama ukimfafanulia anaweza kwenda kueneza ufahamu kwa watoto wake au kwa watu waliomzunguka,? Kwanini Watanzania tupo hivi badala ufundishe mtu aelewe uongeze watu waelewa, wewe na elimu yako...
Mwingereza hana kitu Sasa hivi Land Rover kitambo tuu imechukuliwa na TATA ya India, RR Imechukuliwa na BMW sasa sijui kuna nini huko Uingereza labda Bentley na sina uhakika kama ajauza shea yake Germany.
Ndio ukweli huo sijawahi kuona Mabilionea wana show off na hizo Toyota, tunaona tu Benz G wagon, Bwm , RR , na nyingi za Ulaya.. labda Dubai ndio tunaona mwarabu tena jangwani anafanyia mbwembwe huko,hizo Toyota .. , tuwe wakweli mioyoni kwetu hata huko Japani wenye nazo utaona wanasukuma...
Mtalinganisha sijui Mjapani na Mjerumani mpaka mtabonyea , lakini ukweli mnajua moyoni kwamba Gari za Ulaya na za Mjapan ,kwa maana mnaona wenye nazo Garage zao huwa Gari za kutoka wapi zinapaki. Tunaona mabilionea na watu maarufu Duniani kote ni Gari gani wanazotamba nazo, sijawahi kuona Toyota...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.