Recent content by mtana76

  1. mtana76

    Rais Samia aondoka kwenda Uganda kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais Yoweri Museveni

    Wanawake kwa kupenda Safari na Shughuli naona atampita mpaka Kikwete , tutakuja kuona mbeleni huko wacha tusubiri .
  2. mtana76

    Tatizo la kunuka mdomo(kinywa) husababishwa na nini?

    Sio kila kinachotoa harufu mdomoni kinahusiana na usafi wa kutokupiga mswaki, ukishafahamu hilo ndio utajua kwamba mwanadamu yoyote duniani lazima atoe harufu kinywani kwake. Kuna wengine wana matatizo ya kiafya tumboni pia. Hili jambo ni gumu mno kulielezea, na ndio maana hata Dunia ya kwanza...
  3. mtana76

    Kibonzo; msako wa kumpata Kigogo unaendelea

    Kigogo sio mtu mmoja ni group la watu tofauti tofauti, aiwezekani mtu mmoja kujua mpaka mambo ya Nikki wa pili, mke wake kupelekwa Wista’s Inn,taarifa za hali ya ugonjwa wa Hayati Magufuli,yaani yeye kila kitu anakijua hapana siamini kama ni mtu mmoja anayeendesha hiyo show,litakuwa kundi la...
  4. mtana76

    Uungwana: BAVICHA yatoa Shukrani kwa wote waliochangia pesa za kulipa faini ya Yericko Nyerere Mahakama ya Kisutu

    Haya ndio mwisho wa akili zenu sio ? Matusi , kutukana mpaka Marehemu , sidhani kama mtapewa Nchi nyinyi kwa akili zenu zilipofikia 🥸
  5. mtana76

    Uungwana: BAVICHA yatoa Shukrani kwa wote waliochangia pesa za kulipa faini ya Yericko Nyerere Mahakama ya Kisutu

    Jengeni ofisi ya kueleweka hili hata sisi wengine tuwaamini, Chama kinataka kupewa nchi kinashindwa hata kuwa na jengo la kueleweka, hizo milion 300 mia 3, kila siku kulipia fain mahakamani mnashindwa kutumia akili mkajenga ofisi nzuri na kubwa tuu.Mnaonekana wababaishaji kwa Watanzania wengi.
  6. mtana76

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Namba 2. 3. 7. Zitolee sababu tano tano kwanini unaona hilo unalotaka ndio lifanyike?????????
  7. mtana76

    Uchaguzi BAWACHA: Majina ya waliorejesha fomu za kugombea uongozi haya hapa

    Kwa sakata hili la kumpakazia kifo Rais wa Jamhuri ya Tanzania aaah!! kwa kweli sidhani kama kuna mtanazania hata mmoja atawasilikiza na kuwaamini tena, mmejiaribia sana tena sanaa..Nilikipenda sana Chadema lakini kwa sasa nakichukia mnooo.Mmekuwa sio Chama cha siasa bali wahaini sasa na watu wa...
  8. mtana76

    FAHAMU: Ugonjwa wa mtu ni siri kati ya Mgonjwa husika na Daktari, hayo ndiyo maadili ya kitabibu dunia nzima

    Hapa bado ujaondoa haki yake Bado ya kuuitwa mgonjwa atujakataa kwamba mtu , kinacholinda hali yake huyo mtu ni hilo neno MGONJWA period!
  9. mtana76

    Mama Samia Suluhu: Rais anawasalimia, anasema tuchape kazi tulete tija kwa Taifa letu

    Taarifa gani zaidi na taarifa wameshatoa, Leo mama Tanga, Mama katoa salam za Rais na kasema watu washikamane, sasa taarifa gani hizo mnazotaka zaidi, kama mpo na taarifa zaidi basi zitolewe. Nawaamini sana Serikali kwa hili kuliko Lissu.
  10. mtana76

    Mama Samia Suluhu: Rais anawasalimia, anasema tuchape kazi tulete tija kwa Taifa letu

    Akimaanisha kipindi hiki cha maneno maneno mengi kutoka Ubelgiji, hivyo watu washikamane , kuliko kusikiliza habari ambazo hata hao wanao zitoa awatuambii chochote cha maana, zaidi ya kuuliza maswali tuu , Rais yupo wapi? Rais yupo? Majibu yanatolewa yupo anapiga kazi,lakini bado upande wa pili...
  11. mtana76

    Mvua kunyesha kubwa sana na muda mwingine rasharasha, Huko angani kuna koki?

    Elimu yako mbovu sanaaa maana unashindwa kutambua maana ya kusoma na kuelimika , unaweza kwenda shule na vyuo mpaka ukazeeka huko na usielimike. Na hili ndio linajionyesha hapa kwamba kwenda kwako shule sana lakini umeshindwa kuelemika.
  12. mtana76

    Mvua kunyesha kubwa sana na muda mwingine rasharasha, Huko angani kuna koki?

    Mfafanulie swali alilouliza acheni ujeuri wenu wa kielimu,Tambua kuna wengi awajui sio yeye tu je uoni kama ukimfafanulia anaweza kwenda kueneza ufahamu kwa watoto wake au kwa watu waliomzunguka,? Kwanini Watanzania tupo hivi badala ufundishe mtu aelewe uongeze watu waelewa, wewe na elimu yako...
  13. mtana76

    Gari wanazohitaji waTanzania hazipatikani dunia nzima

    Mwingereza hana kitu Sasa hivi Land Rover kitambo tuu imechukuliwa na TATA ya India, RR Imechukuliwa na BMW sasa sijui kuna nini huko Uingereza labda Bentley na sina uhakika kama ajauza shea yake Germany.
  14. mtana76

    Gari wanazohitaji waTanzania hazipatikani dunia nzima

    Ndio ukweli huo sijawahi kuona Mabilionea wana show off na hizo Toyota, tunaona tu Benz G wagon, Bwm , RR , na nyingi za Ulaya.. labda Dubai ndio tunaona mwarabu tena jangwani anafanyia mbwembwe huko,hizo Toyota .. , tuwe wakweli mioyoni kwetu hata huko Japani wenye nazo utaona wanasukuma...
  15. mtana76

    Gari wanazohitaji waTanzania hazipatikani dunia nzima

    Mtalinganisha sijui Mjapani na Mjerumani mpaka mtabonyea , lakini ukweli mnajua moyoni kwamba Gari za Ulaya na za Mjapan ,kwa maana mnaona wenye nazo Garage zao huwa Gari za kutoka wapi zinapaki. Tunaona mabilionea na watu maarufu Duniani kote ni Gari gani wanazotamba nazo, sijawahi kuona Toyota...
Back
Top Bottom