FAHAMU: Ugonjwa wa mtu ni siri kati ya Mgonjwa husika na Daktari, hayo ndiyo maadili ya kitabibu dunia nzima

Wewe huwa unameleza mmeo siri zako zote kwakuwa alikulipia mahali au baba yako aliyekisomesha huwa unawaambia matumizi ya pesa yako?

Kama swala ni kodi je watumishi wa serikali wanaolipwa mishahara nao mnahaki ya kujua matumizi ya kodi yenu

Usiwe mtumwa wa kila unachosikia na ushabiki wa kimtandao kwa vile huonekani
Uwe unaelewa... siyo kwamba mimi wa Namtumbo nijue kuugua kwa mkuu wa wilaya ya Karagwe, hapana, unless otherwise, kiofisi namuhitaji, then ntaambiwa anaumwa.... KILA MMOJA ANATAKIWA AJUE MTU WA ENEO LAKE ANAUMWA HASA KAMA KUNA INTEREST FULANI NA MUHUSIKA...

USISAHAU KUNA MWINGINE ENEO LAKE NI KIJIJI, wilaya au mkoa. MWINGINE ENEO LAKE NI KWENYE MIPAKA YA NYUMBA YAKE.... ILA KUNA MWINGINE ENEO LAKE NI MIPAKA YA NCHI... HIVYO WALIOMO NDANI YA NCHI HIYO WANAPASWA KUPEWA TAARIFA... AU KUMUONA KAMA WANATIA SHAKA
Hawezekani taarifa wawe nazo watatu tu ( PM, balozi wa Tanzania huko Namibia na Makamu wa Rais, WAKATI NAO SI MADAKTARI) kati ya watu 55 milioni
 
Tena huko ukiumwa tu..siku unarudi kazini lazima uende na kile cheti cha ugonjwa...kuepeusha kutumia muda wa walipa kodi vibaya na pia kuongopa.Lipo wazi kabisa hilo...sasa sijaelewa kwanini huwa vyeti vinahitajika na akijua HR dunia umejua.
Wewe niteja kweli kinachorudi ni seak sheet au cheti cha ugonjwa?

Historia ya mgonjwa hubaki hospitalini na ndiyo maana hata mgonjwa huwa haruhusiwi kulishika kwa sababu maalum.

Kinachorudi kazini ni taarifa ya matibabu siyo historia ya mgonjwa,msilazimishe mambo,plz!!

Mwisho fanyeni kazi kuumwa kwa kiongozi hakuwaongezei kitu wala kuwapunguzia kitu kama ni umaskini wako uko palepale!!
 
Uwe unaelewa... siyo kwamba mimi wa Namtumbo nijue kuugua kwa mkuu wa wilaya ya Karagwe, hapana, unless otherwise, kiofisi namuhitaji, then ntaambiwa anaumwa.... KILA MMOJA ANATAKIWA AJUE MT WA ENEO LAKE ANAUMWA HASA KAMA KUNA INTEREST FULANI NA MUHUSIKA...

USISAHAU KUNA MWINGINE ENEO LAKE NI KIJIJI, wilaya au mkoa. MWINGINE ENEO LAKE NI KWENYE MIPAKA YA NYUMBA YAKE.... ILA KUNA MWINGINE ENEO LAKE NI MIPAKA YA NCHI... HIVYO WALIOMO NDANI YA NCHI HIYO WANAPASWA KUPEWA TAARIFA... SU KUMUONA KAMA WANATIA SHAKA
Hawezekani taarifa wawe nazo watatu tu (Makamu wa Rais, balozi wa Tanzania huko Namibia na Makamu wa Rais, WAKATI NAO SI MADAKTARI) kati ya watu 55 milioni
Kwahiyo unapohitaji taarifa tu upewe kwa utaratibu wako na kejeli zako?umewahi kuomba taarifa sehemu husika ukanyimwa?

Kila jambo kuna utaratibu wake wa kutoa taarifa na kulingana na mapokeo ya wananchi leo mbachofanya nyie nikumkejeli mtu na kulijengea taifa hofu kwa maslahi yenu.

Je,umewahi kuuliza Rais anaishije au hata kumjulia hali kama unavyochafua humu na kukujeli?
 
Wewe niteja kweli kinachorudi ni seak sheet au cheti cha ugonjwa?

Historia ya mgonjwa hubaki hospitalini na ndiyo maana hata mgonjwa huwa haruhusiwi kulishika kwa sababu maalum.

Kinachorudi kazini ni taarifa ya matibabu siyo historia ya mgonjwa,msilazimishe mambo,plz!!

Mwisho fanyeni kazi kuumwa kwa kiongozi hakuwaongezei kitu wala kuwapunguzia kitu kama ni umaskini wako uko palepale!!
Sick sheet inatolewa na ofisi kabla ya kufika hospitali na itarudi ikiwaimejazwa...
Swali, ANAYEANDIJA SICK SHEET NI DAKTARI ANAYEMTIBU!? INAANDIKWA ILI AKAISOME NANI!? AU NANI ANAPEWA TAARIFA ILIYOMO KWENYE SICK SHEET!?HAPO SIRI YA MGONJWA INAKUWA IMEMWAGWA NJE AU LA!?
 
Kwahiyo unapohitaji taarifa tu upewe kwa utaratibu wako na kejeli zako?umewahi kuomba taarifa sehemu husika ukanyimwa?

Kila jambo kuna utaratibu wake wa kutoa taarifa na kulingana na mapokeo ya wananchi leo mbachofanya nyie nikumkejeli mtu na kulijengea taifa hofu kwa maslahi yenu.

Je,umewahi kuuliza Rais anaishije au hata kumjulia hali kama unavyochafua humu na kukujeli?
Unaweza inaonyesha wapi nimekejeli!?
 
Sick sheet inatolewa na ofisi kabla ya kufika hospitali na itarudi ikiwaimejazwa...
Swali, ANAYEANDIJA SICK SHEET NI DAKTARI ANAYEMTIBU!? INAANDIKWA ILI AKAISOME NANI!? AU NANI ANAPEWA TAARIFA ILIYOMO KWENYE SICK SHEET!?HAPO SIRI YA MGONJWA INAKUWA IMEMWAGWA NJE AU LA!?
Aisee wewe nipooza kweli ebu taduta sicksheet uisome vzr uone inasisitiza nani aijaze.

Hospitalini kuna file rasmi la matibabu linalokuwa na historia ya matibabu ya mgonjwa na sicksheet hujazwa baada ya matibabu hasa kuelezea hali ya mgonjwa baada ya matibabu na kuonesha kuwa amehudhuria matibabu na je anaweza kuendelea na kazi au apumzike kwanza kwa muda gani au arudi tena hospitalini baada ya muda gani
 
Confidentiality: Daktari au mtumishi yoyote anayehusika kumtibu mgonjwa anatakiwa kutunza siri ya ugonjwa aliyonayo mgonjwa huyo. Daktari haruhusiwi kutoa taarifa za huyo mgonjwa bila idhini ya mgonjwa husika.

Lakini pia mgonjwa anaweza yeye mwenyewe kutoa taarifa ya nini anaumwa kwa mtu wake wa karibu akipenda au kwa watu wote bila kushurutishwa na kitu chochote.

Ni kosa la kimaadili kwa daktari au mtumishi wa Afya kutoa siri za wagonjwa.

Kwa faida zaidi someni : MEDICAL ETHICS / BIOETHICS

View attachment 1726871View attachment 1726872
Kwahiyo hata kuumwa nako ni siri au ugonjwa ndio siri mkuu
 
Hakuna siri kama unaishi kwa kwa kodi ya wananchi. Wanaokatwa kodi ili kukutunza wana haki ya kujua matumizi ya kodi yao.
Umesema hapa hakuna siri kama unaishi kwa kodi ya wananchi..........hiyo siyo kejeli au mbaaandika tu vitu kwa mihemko na ulimbukeni kwa kuwa mna smart phone?


Rais hana kitu kingine kinachomuingizia pesa kama hotel,mashamba,n.k na halipi kodi?
 
Wewe huwa unameleza mmeo siri zako zote kwakuwa alikulipia mahali au baba yako aliyekisomesha huwa unawaambia matumizi ya pesa yako?

Kama swala ni kodi je watumishi wa serikali wanaolipwa mishahara nao mnahaki ya kujua matumizi ya kodi yenu

Usiwe mtumwa wa kila unachosikia na ushabiki wa kimtandao kwa vile huonekani
Ndiyo maana Rais anapoingia madarakani tunafahamishwa idadi ya wana familia, ameoa ana mke na watoto.... Mke wa Rais akijifungua pia tunafahamishwa. Tunajua idadi ya wanaotumia kodi yetu imeongezeka.
 
Nilisikitika Magufuli yuko
kanisani, anamuanika mama mtawa aliyekatwa ziwa!
Huyo aliyetoa taarifa zake amelazwa hospitalini au keshatoka hospitalini na haendelei na matibabu?

Huo ni ushuhuda na mtu keshapona bwana acheni uchonganishi
 
Siku za ukimya zinavyozidi kuongezeka ndiyo hivyohivyo consipiracy theories zinaongezeka, unafikiri ni kwa nini?
Naona hata mods sasa wamechoka kufuta posts na threads kwa sabavu hakuna kinachopostiwa nje ya suala hili kwa sasa.Ni asili ya mwanadamu, you cant control nature.
 
Unaifahamu sick sheet!? Unaifahamu PF3... !?
Unaniuliza ambaye navijaza hivyo vitu siku zote?
PF-3 ni legal document ambayo hujazaa na hubakia hospitalini. Mpelelezi wa hiyo case huja kuifuata Hospitali na kwenda nayo mahakamani kwa ajili ya ushahidi. Hakimu asipoelewa maelezo ya kwenye PF-3 hutoa court order ya kumuita Daktari mahakamani aje atoe maelezo ya kina ya hicho kilichojazwa kwenye PF-3.
Sick sheet ni fomu inayojazwa kueleza kwamba mtumishi husika alihudhuria hospitali kwa matibabu na either anatakiwa tena kurudi hospitali kwa matibabu zaidi. Sick sheet haina details zozote za ugonjwa wa mtumishi.

Unataka maelezo zaidi?
 
Kuna watu wa aina tatu
Mtu binafsi
Mtu cheo
Mtu taasisi
Je sheria imefafanua kwenye hilo?

Hapa bado ujaondoa haki yake Bado ya kuuitwa mgonjwa atujakataa kwamba mtu , kinacholinda hali yake huyo mtu ni hilo neno MGONJWA period!
 
Unaniuliza ambaye navijaza hivyo vitu siku zote?
PF-3 ni legal document ambayo hujazaa na hubakia hospitalini. Mpelelezi wa hiyo case huja kuifuata Hospitali na kwenda nayo mahakamani kwa ajili ya ushahidi. Hakimu asipoelewa maelezo ya kwenye PF-3 hutoa court order ya kumuita Daktari mahakamani aje atoe maelezo ya kina ya hicho kilichojazwa kwenye PF-3.
Sick sheet ni fomu inayojazwa kueleza kwamba mtumishi husika alihudhuria hospitali kwa matibabu na either anatakiwa tena kurudi hospitali kwa matibabu zaidi. Sick sheet haina details zozote za ugonjwa wa mtumishi.

Unataka maelezo zaidi?
Hawa watu bwana wametanguloza mihemko ya kisiasa na maisha yao kama mtu uko serious na life yako utakiwa makini na kila ushuzi unaibuka,unakuta jitu linalazimisha tu mambo au habari eti kwakiwa mbowe au lema au lisu kasema hivyo hata kama siyo kweli!!
 
Unaniuliza ambaye navijaza hivyo vitu siku zote?
PF-3 ni legal document ambayo hujazaa na hubakia hospitalini. Mpelelezi wa hiyo case huja kuifuata Hospitali na kwenda nayo mahakamani kwa ajili ya ushahidi. Hakimu asipoelewa maelezo ya kwenye PF-3 hutoa court order ya kumuita Daktari mahakamani aje atoe maelezo ya kina ya hicho kilichojazwa kwenye PF-3.
Sick sheet ni fomu inayojazwa kueleza kwamba mtumishi husika alihudhuria hospitali kwa matibabu na either anatakiwa tena kurudi hospitali kwa matibabu zaidi. Sick sheet haina details zozote za ugonjwa wa mtumishi.

Unataka maelezo zaidi?
Kwa hiyo siri haipo kwenye kujua mtu ni MGONJWA au la, Bali siri ipo kwenye anachoumwa mtu... HIVYO VYOTE HUJAZWA BAADA YA KUJUA MTU ni mgonjwa
 
Back
Top Bottom