Recent content by mtamwa jr

  1. mtamwa jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mama Siti hapa ni wapi Kweli?

    Oa mkubwa mufe pamoja....wadogo unatangulia wew tu yeye unamuacha wanamla wahuni nyuma unakomuacha
  2. mtamwa jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Long distance ni mapenzi ya uongo vijana acheni ujinga

    Kuchapiwa unachapiwa tu haijalishi....kikubwa usijue ..awe mbali au awe karibu bor usijue na muwe salama..vitu vingine vigumu kuvi handle na ukivifatilia ndo unasababisha kupoteza vingine zaidi...so cha msing trust yourself no body is trustfull.....
  3. mtamwa jr

    JamiiForums Tanzania Faida za vitunguu saumu kwa wanaume na jinsi ya kutumia

    Inasaidia ila so kwa siku moja, ila utumie na Asali kwa kunywa kila siku na usisahau mazoezi Sent using Jamii Forums mobile app
  4. mtamwa jr

    JamiiForums Tanzania Hivi msichana akimaliza period yake nikae siku ngapi ili nifanye safe sexual without pregnancy?

    Ha ha ha Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
  5. mtamwa jr

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Mmh! Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
  6. mtamwa jr

    JamiiForums Tanzania Mwana FA ulioanza nao game wamekutenga, kuna sehemu umekosea au tatizo nini?

    Mafanikio yanaitaji watu, ila watu haohao ndo tatizo katika mafanikio! Utafanya yote, ila kamwe usifanye jambo kwa vile Fulani anafanya au fulani hajafanya!!! We kam unafikiri kufanikiwa kwa Mwana FA mafanikio yake yapo kwa mgongo wa wakongwe au wasafi basi nutasubiri!!! Kweny harusi tu...
  7. mtamwa jr

    JamiiForums Tanzania Ali Kiba ahojiwa BBC kwenye kipindi cha 'Focus on Africa'

    Ha ha hongera ajitahid kidog amkaribie dangote maan ndo analipa njia hilo boya....
  8. mtamwa jr

    JamiiForums Tanzania Is Diamond Platnumz good as he is au kuna mengine?? Mbinu za kutoboa kimataifa.

    Et mara waganha, mara freemason, mara ccm......hivi hao waganga wasanii wengine hawawaoni? Na nenda kaangalie viewer wa diamond kam utakuta ccm tupu bu th? way we wenyew unaesema koz yupo ccm umeangalia n'a unamsapoti je n'a w? ni ccm? Au wasanii wengine si ccm? Hapo vha msingi ni kujituma...
  9. mtamwa jr

    JamiiForums Tanzania Is Diamond Platnumz good as he is au kuna mengine?? Mbinu za kutoboa kimataifa.

    Huyu ndo walewale unaowasema vichwa mizigo kazi kuwaza majungu.....aisee nenda.mirembe....
  10. mtamwa jr

    JamiiForums Tanzania Diamond ndio kwisha kabisa kimziki, Kabakia kupumulia mbeleko za Video za Godfather

    Tatizo vichwa vya wabongo wengi vimejaa moshi hususani team kiba,,, hivi we unaetaka wimbo wa hisia, uhamasishaji, na huzuni kam huo afu ucheze sundaes.kumheuza dadako mkeo? We brow kichwa vumbi mbona nagharamia kapuni na haichezeki? Si kila nyimbo za kucheza sawa kaka!!! Diamond ni mwanamziki...
  11. mtamwa jr

    JamiiForums Tanzania Anayeuza pikipiki boxer 150

    Ninayo ila ni san LG, niko dodoma na ni kuu kuu kwa mawasiliano ni 0788057442 na 0715614518
  12. mtamwa jr

    JamiiForums Tanzania UKAWA waeleza sababu za kuzomea Bungeni

    Ukawa hamna.akili timamu...rudini shule...
  13. mtamwa jr

    JamiiForums Tanzania Kuelekea mwishonI kampeni za uchaguzi , hivi ni baadhi ya vioja vya uchaguzi wa mwaka huu 2015

    Ha ha mgombea wa ukawa kuomba kura kwa ccm...kwenye viwanja vya ifakara...
  14. mtamwa jr

    JamiiForums Tanzania Kutoka uwanja wa Shule ya Jangwani - Ifakara: Mkutano wa Kampeni wa CHADEMA

    Ha ha mzee kaisha, et anawaombea kura CCM, huyu kavurugwa sana kama vp aje ACT atapona...
  15. mtamwa jr

    JamiiForums Tanzania CCM hata mkitulipa walimu madeni sie ni mabadiliko tu

    Hata YESU alijua mwalimu n'a hakulipwa so ni kawaida!!!!!! Wé piga usipige hapa hata kwa bao la nyuma tunakupiga..
Back
Top Bottom