Serikali ya CCM imekula wa chuya kwa kujifanya eti kutulipa madeni ya walimu wakidhani watatushawishi tuichague CCM.
Wanachotakiwa kutambua ni kwamba malipo ni haki yetu na sio msaada maamuzi ya kuchagua mabadiliko tumeshaamua. hivyo kura zetu ni Lowassa.
Wanachotakiwa kutambua ni kwamba malipo ni haki yetu na sio msaada maamuzi ya kuchagua mabadiliko tumeshaamua. hivyo kura zetu ni Lowassa.