Niliwahi kumsikiliza mzee mmoja yule aliyetaka kununua nyumba za Lugumi then akaanzishiwa zengwe ...
Aliulizwa hivi "unapenda kuishi wapi?" Jibu lake lilikuwa na maelezo mengi lakini undani wake kwa ufupi ilikuwa hivi ....
Nikiwa nyumbani nasumbuliwa hadi kutishiwa kufungwa au kuuawa; nikiwa...
W/end imeisha ila ...
Nikiwa nimekaa sehemu nachart na binti ambaye kiukweli tumekutana fb; tukapeana namba za simu - tukapanga kuonana J.pili. Wakati naendelea kuchart naye ... mara mpenzi wangu akanipigia simu na kunambia kuwa anataka tuonane kuna jambo anahitaji kunishirikisha. Nikamruhusu...
HIli tuliweke sawa ..
Ni yapi mambo ya Muungano na ni yapi si mambo ya Muungano?
Hivi inawezekanaje nikanunua kitu Mwanza kukisafirisha kwenda Bukoba nikatozwa kodi?
Ichukulie kama fursa; najua ukubwani wengi watakuwa wanajiharishia. Hivyo kitengenezwe kiwanda cha nepi za wakubwa!
Ushauri; elimu hii itolewe toka chekechea ili watoto wetu wakue wakijua kwamba huo mchezo ni mbaya sana. Tunawaacha watoto wanachezeana hadi wanazoea alafu tunakuja kuwazuia...
Wachache watakaonielewa ... ila kiuhalisia ni kwamba kuna umri fulani viongozi wetu wanakuwa kama wamevishwa kofia ambapo maamuzi yote yanatokana na hizo kofia. Hawatumii fikra zao kisawasawa! Ukifanikiwa kutoroka kule wanapowavisha watu kofia unakuwa na uhuru wa kifikra.
Hivi tutaendelea...
Nimefuatilia post za wachangiaji wote nimegundua kuwa kuna watu wanafikiri staili ya maisha yao ni sawa na wengine.
1. Wapo wanaosema kuwa kama aliweza kutuma sms alishindwaje kupost mwenyewe? sio simu zote zina uwezo wa kuingia JF
2. Mara hoooo tapeli ... hapa kweli kuna mtu wa kutapeliwa kwa...
Mbona imekuuma sana! au mna chama cha kuchangiana misiba na ukizingatia hali ilivyo ngumu ulikuwa umeisha waza wapi pa kupata hiyo michango???
Pole sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.