jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,128
- 8,648
Habari za wakati huu wapendwa,
Naomba niende moja kwa moja kwenye point ambayo itawagusa wale wenzangu na mimi ambao wanahabari kuwa Zanzibar vitu vya electronics ni bei nafuu sana,
Jana nilikuwa niko bandarini Zanzibar baada ya kutoka matembezi, nikiwa mitaani nilipitia maduka mbali mbali kuangalia bidhaa na bei zake. Kiukweli nilivutiwa sana na bei zake sema sikuwa na mchecheto wa kununua kwa jana
Wakati nipo kwenye meli kuna jirani yangu alikuwa amenunua runinga na microwave 2, inshort ni mbara na alienda kule kwa ajili ya manunuzi ya vitu hivyo tu tukawa tunapiga story za hapa na pale mpaka tukafika bandarini
Kilichonifanya niandike uzi huu ni baada ya kumuona yule jirani yangu kwa hasira akitupa ile tv na microwave kwenye bahari baada ya kuambiwa kuwa kodi yake ni laki 4, wakati yeye alinunua kwa matumizi tu ya nyumbani
Je hili linekaaaje? maana na mimi kama ningenunua hakika yangenikuta pia
Naomba niende moja kwa moja kwenye point ambayo itawagusa wale wenzangu na mimi ambao wanahabari kuwa Zanzibar vitu vya electronics ni bei nafuu sana,
Jana nilikuwa niko bandarini Zanzibar baada ya kutoka matembezi, nikiwa mitaani nilipitia maduka mbali mbali kuangalia bidhaa na bei zake. Kiukweli nilivutiwa sana na bei zake sema sikuwa na mchecheto wa kununua kwa jana
Wakati nipo kwenye meli kuna jirani yangu alikuwa amenunua runinga na microwave 2, inshort ni mbara na alienda kule kwa ajili ya manunuzi ya vitu hivyo tu tukawa tunapiga story za hapa na pale mpaka tukafika bandarini
Kilichonifanya niandike uzi huu ni baada ya kumuona yule jirani yangu kwa hasira akitupa ile tv na microwave kwenye bahari baada ya kuambiwa kuwa kodi yake ni laki 4, wakati yeye alinunua kwa matumizi tu ya nyumbani
Je hili linekaaaje? maana na mimi kama ningenunua hakika yangenikuta pia