Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi wa Tegeta waliojitokeza kumpokea wakati akielekea kwenye mkutano wa kampeni wa jimbo la Kawe uliofanyika viwanja vya Bunju.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa mkutano wa...
Mgombea wa Urais Dr Magufuli katika kampeni zake hadi sasa zimepelekea kuungwa mkono na Watanzania wengi na hata wale kutoka upinzani.Dr Magufuli anapata pongezi tele kwa sasa kutoka kila pande kutokana na ushindi mnono atakaopata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.