Mgombea udiwani wa CCM ampigia kampeni Lowassa

Mgombea udiwani wa CCM ampigia kampeni Lowassa

We unafikiri DAVID MATHAYO mgombea ubunge wa ccm Musoma mjini atampigia kura Makufuli?......
Lowassa ni superPower amefanya kampeni mara 4 ndani ya miaka 7...
 
Hiyo ni kweli huku moshi m/kiti wa CCM anapita na kuwaambia watu wamchague Lowasa ànasema akiingia madarakani atawapa posho
 
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi wa Tegeta waliojitokeza kumpokea wakati akielekea kwenye mkutano wa kampeni wa jimbo la Kawe uliofanyika viwanja vya Bunju.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa mkutano wa Bunju A.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na Makamu wa Rais Dk. Ghalib Bilal kabla ya kuhutubia wakazi wa Kawe waliojitokeza kwenye mkutano wa kampeni za CCM zilizofanyika kwenye viwanja vya Bunju A.
Wananchi wakishangilia wakati wa mkutano wa kampeni za CCM Kawe.

Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba akihutubia kwenye mkutano wa kampeni za CCM wa kumnadi Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli uliofanyika kwenye viwanja vya Bunju A.
Wakazi wa Kawe wakiwa juuu ya paa la nyumba wakati wa mkutano CCM wa kumnadi
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.

Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Kawe kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye viwanja vya Bunju A.
Wananchi wa Kawe wakimsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akimnadi mgombea wa Ubunge jimbo la Kawe Kippi Warioba kwenye mkutano wa kampeni za CCM zilizofanyika viwanja vya Bunju
 
Mama Anna wa ACT..chagueni upinzani... mkininyima mimi kura mpeni basi LOWASSA na UKAWA...!!!! Sbb hata sisi ACT tunakubali mabadiliko...!!

Watu: Mabadilikoooooooooooooooo....Lowassaaaaaaaaaaaaa....👏👏👏✌✌✌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

Mama Anna: Nafurahi sana kuona mmeamka sana mnataka mabadiliko...!!! Anachekaaa...😂😂

Watu: Lowassaaaaaa.... mabadilikooooooo....!!!!!✌✌✌👏👏👏🙌🙌🙌🙌🙌
 
Thubutu,yaani akili za watu wa ukawa ni shida kweli
 
Yaani hata mwinyi, kinan, chemba, nchimbi, s.simba, 6, ngeleja, zee la vijishiling, zee la kufoka, pombe na hata baba risawane na familia yke watapiga kura ya ndiyo kwa LOWASSA; umeona! eeeeeah; wee!! wee!! we!! chezea Ngoyai wee!!.
 
Jah People kule Njombe alishaiambia team campn yake marufuku kumnadi magufuli nayeye kura yaurais nikwalowasa
 
Kiukwel hata huku kwetu Ngorongoro mbunge na madiwani wa ccm wote ni campaign kwa lowasa. And I'm talking the pure truth
 
Back
Top Bottom