muanzisha thread cjui kama alikua na nia gani, au alitaka nini hasa, all in all sidhani kama huu ni mda wa kumjadili marehem kiaina hiyo, tuwe wastaarabu kama binadam, nobody is perfect so kama alifanya mazuri, yaige, yale mabaya tupilia mbali, sio kuanza kuongea unafiki na upuuzi, na rumous..