Hivi nyie sina mna vizazi?? Zaeni na nyie muone utamu na uchungu wa kulea, tena ukute mmezaa mashoga sasa sijui tuwalaumu au? Kwa umaskini tulionao bongo mtoto anaigiza analipwa nimkataze ili tulale njaa au? La msingi ni kumfundisha na kumkanya asipofata ushauri basi unamuombea na kubaki kuumia, mtoto hachungwi tena hawa watoto wa tisini ndio kabisaaaaaa utapiga hadi utaua.