Chadema hata isifanye mikutano miaka 10. Uchaguzi ukiwa huru na haki CCM inaikabidhi Chadema nchi asubuhi tu, hata uchaguzi ufanyike kesho asubuhi.. ni chama kilicho kwenye mioyo ya watu. Sio huko ambako wengi wapo Kwa ajili ya matumbo.
Ninachofurahi mchungaji Kimaro yeye ameaga tu kondoo wake. Mengine yote ni ya sisi tunaoongea pasipokujua sababu ya likizo ya lazima. Ameshaanza likizo yake ya siku 60. Hebu tumwache apumzike.
Mama wanamdanganya anazidi kuonekana kituko. Ila nimeumia Kodi zetu kuendelea kutumiwa vibaya.
Ukweli wanajua hatuna la kuwafanya wameshika mpini sie makali.
Ila Mungu yupo Kuna siku watalipa hizi gharama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.