Recent content by msweety

  1. msweety

    PreGE2025 Tunamsihi Lissu akubali matokeo yoyote

    Uchaguzi ukiwa huru na haki Lissu anashinda mapema sana.
  2. msweety

    Hongera CCM: Umelijenga Taifa imara Kwa vizazi vijavyo

    Mnafaidika nini kubadilisha ukweli kuwa uongo?
  3. msweety

    Wanawake wa kizigua wanafaa kuolewa?

    Kwa swali hili umeshapoteza sifa ya kupata mke kutoka kabila lolote Tanzania. Jaribu Sudan kusini unaweza kubahatisha.
  4. msweety

    Uteuzi: Rais Samia ateuwa wakuu wa kada mbalimbali

    [emoji23][emoji23] Anaye. Aliwahi mtambulisha kampeni za uchafuzi wa 2020.
  5. msweety

    Hivi hawa wanaosifia sana Serikali mitandaoni wanatoka wapi?

    Wanashindwa kuajiri wanaostahili wanalipa machawa.
  6. msweety

    Serikali isidanganye umma pesa kuchotwa na kupelekwa china hadi sasa mabilion ya ESCROW yako wapi

    Hakuna wa kumfunga paka kengele mana wote ndo walewale na wanajuana.
  7. msweety

    CHADEMA imeshavimeza tena vyama vyote vya Upinzani, Siasa za nchi hii ngumu sana!

    Chadema hata isifanye mikutano miaka 10. Uchaguzi ukiwa huru na haki CCM inaikabidhi Chadema nchi asubuhi tu, hata uchaguzi ufanyike kesho asubuhi.. ni chama kilicho kwenye mioyo ya watu. Sio huko ambako wengi wapo Kwa ajili ya matumbo.
  8. msweety

    KKKT ni kanisa kubwa kuliko mtu, Kiburi kimemponza Mchungaji Kimaro

    Ninachofurahi mchungaji Kimaro yeye ameaga tu kondoo wake. Mengine yote ni ya sisi tunaoongea pasipokujua sababu ya likizo ya lazima. Ameshaanza likizo yake ya siku 60. Hebu tumwache apumzike.
Back
Top Bottom