Recent content by msweety

  1. msweety

    Hongera CCM: Umelijenga Taifa imara Kwa vizazi vijavyo

    Mnafaidika nini kubadilisha ukweli kuwa uongo?
  2. msweety

    Wanawake wa kizigua wanafaa kuolewa?

    Kwa swali hili umeshapoteza sifa ya kupata mke kutoka kabila lolote Tanzania. Jaribu Sudan kusini unaweza kubahatisha.
  3. msweety

    Uteuzi: Rais Samia ateuwa wakuu wa kada mbalimbali

    [emoji23][emoji23] Anaye. Aliwahi mtambulisha kampeni za uchafuzi wa 2020.
  4. msweety

    Hivi hawa wanaosifia sana Serikali mitandaoni wanatoka wapi?

    Wanashindwa kuajiri wanaostahili wanalipa machawa.
  5. msweety

    Serikali isidanganye umma pesa kuchotwa na kupelekwa china hadi sasa mabilion ya ESCROW yako wapi

    Hakuna wa kumfunga paka kengele mana wote ndo walewale na wanajuana.
  6. msweety

    CHADEMA imeshavimeza tena vyama vyote vya Upinzani, Siasa za nchi hii ngumu sana!

    Chadema hata isifanye mikutano miaka 10. Uchaguzi ukiwa huru na haki CCM inaikabidhi Chadema nchi asubuhi tu, hata uchaguzi ufanyike kesho asubuhi.. ni chama kilicho kwenye mioyo ya watu. Sio huko ambako wengi wapo Kwa ajili ya matumbo.
  7. msweety

    KKKT ni kanisa kubwa kuliko mtu, Kiburi kimemponza Mchungaji Kimaro

    Ninachofurahi mchungaji Kimaro yeye ameaga tu kondoo wake. Mengine yote ni ya sisi tunaoongea pasipokujua sababu ya likizo ya lazima. Ameshaanza likizo yake ya siku 60. Hebu tumwache apumzike.
  8. msweety

    Nimepanda basi toka Dar kwenda Mwanza kukiwasha japo kwa shingo upande

    Tukutane jukwaani kamanda. Tunaendelea tulipoishia[emoji3577]
  9. msweety

    Kama hujui ni kwamba Mtume na Nabii Josephat Mwingira alikuwa mchungaji wa KKKT Iringa!

    Utakayeshangaa hayo yajayo ni wewe. Hakuna jipya chini ya jua.
  10. msweety

    Wafanyabiashara walioporwa mabilioni na Mwendazake kurejeshewa fedha hizo na Rais Samia

    Huu ni upigaji mwingine ila Kwa style tofauti.
  11. msweety

    Tetesi: Sherehe za kupokea matokeo ya sensa zimetumika Billion 6

    Mama wanamdanganya anazidi kuonekana kituko. Ila nimeumia Kodi zetu kuendelea kutumiwa vibaya. Ukweli wanajua hatuna la kuwafanya wameshika mpini sie makali. Ila Mungu yupo Kuna siku watalipa hizi gharama.
Back
Top Bottom