RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,909
Tuhuma nyingi za kunyosheana vidole ndani ya serikali hazijaanza leo angalia watu wote waliotuhumiwa katika kadhifa mbalimbali za uporaji wa fedha za umma nini walifanya-
Mfano pesa za escrow bilion zaidi ya 350+ zimeliwa na wajanja watuhumiwa wapo wapi na wanafanya nini, hapa mjue fedha zililiwa lakini wahusika wapo na wanadunda hakuna cha kuwafanya.
Juzi malipo yamefanyika na serikali kulipa kampuni ya symbion hata bunge kushirikishwa kuhusiana na pesa hizo hakuna, watu walipiga kelele hadi leo kimya bilion zaidi ya 350 zimeliwa
Wakati mama anaingia madarakani march 2021 alitangazia umma kuwa kuna fedha zimepigwa BOT Aliunda tume hadi leo nini kimefanyika.
Wakuu namalizia kwa kusema ccm ni chaka la majizi ndani ya nchi hii hakuna msafi wapo kwa ajiri ya kutuhumiana tu!
Wanachojuwa ni kupeana vyeo tu na wakikosana wanararuana wenyewe. nchi hii tunaaminishwa na viongozi hao kuwa ni maskini kumbe umaskini ni wa kutengeneza, nchi ambayo ni maskini haiwezi kununua magari ya MAWAZIRI NA MA RC kuanzia milion 500+ huku wananchi wake wakiishi kwa mlo mmoja.
Katiba mpya ni muhimu sana ingawa pamoja na kuwepo hiyo sijui kweli sheria zitafanya kazi ya kuwajibisha watawala naona kenya yanayoendelea! Katiba yao inafanya kazi kwenye chaguzi lakini kwenye kubana majizi ya mali za umma naona hakuna wakumfunga paka kengele wote ni makambale.
Mfano pesa za escrow bilion zaidi ya 350+ zimeliwa na wajanja watuhumiwa wapo wapi na wanafanya nini, hapa mjue fedha zililiwa lakini wahusika wapo na wanadunda hakuna cha kuwafanya.
Juzi malipo yamefanyika na serikali kulipa kampuni ya symbion hata bunge kushirikishwa kuhusiana na pesa hizo hakuna, watu walipiga kelele hadi leo kimya bilion zaidi ya 350 zimeliwa
Wakati mama anaingia madarakani march 2021 alitangazia umma kuwa kuna fedha zimepigwa BOT Aliunda tume hadi leo nini kimefanyika.
Wakuu namalizia kwa kusema ccm ni chaka la majizi ndani ya nchi hii hakuna msafi wapo kwa ajiri ya kutuhumiana tu!
Wanachojuwa ni kupeana vyeo tu na wakikosana wanararuana wenyewe. nchi hii tunaaminishwa na viongozi hao kuwa ni maskini kumbe umaskini ni wa kutengeneza, nchi ambayo ni maskini haiwezi kununua magari ya MAWAZIRI NA MA RC kuanzia milion 500+ huku wananchi wake wakiishi kwa mlo mmoja.
Katiba mpya ni muhimu sana ingawa pamoja na kuwepo hiyo sijui kweli sheria zitafanya kazi ya kuwajibisha watawala naona kenya yanayoendelea! Katiba yao inafanya kazi kwenye chaguzi lakini kwenye kubana majizi ya mali za umma naona hakuna wakumfunga paka kengele wote ni makambale.