Sasa mbaya zaidi mtu anatuma vijembe/ujumbe kwa mtu fulani ambaye hata hana muda wa kuangalia hizo status... Hivi mtu unapata wapi muda wa kubadilisha status kila siku na sio mfanyabiashara?? Huwa nashangaa sana.
Sasa nimelud huku kwangu mkoa mwingine
Mimi kwakuwa niko pekeangu nasikia uvivu kula hivyo kwa siku nakula maramoja tu.
Sili tena matunda, siñywi Tena maziwa hata mboga za majani napata kwa taabu Sasa Ile Hali imerudi ya kutopata choo
Siwezi kuishi Maisha niliyokua nayaishi nyumbani kwasababu...
Wala.... Nikupe moyo Mkuu.... Usijaribu mambo ya waganga. Mungu atakusimamia. Usimwache Mwenyezi Mungu Abadani/Asilani.
Unafikiri hizo mali alikupa Mungu au nguvu za waganga.... Usijichanganye... All the BEST.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.