Recent content by Msweet

  1. Msweet

    Tujuzane kidogo, Uchawi una nafasi gani katika biashara

    Wakibosho pia wapo kwenye hii prime lit jamani.... Nooooo sikuwahi kuwaza hili........ 😅😅😅😅
  2. Msweet

    INAUZWA Imarisha afya yako ukiwa nyumban na mashine za mazoezi

    Nipo interested na ile mashine isiyozidisha kilo 120
  3. Msweet

    Naomba kufahamishwa kuhusu PIXIE ORANGES

    Ila jamani mbona machungwa ya sasa hayana ladha kabisa.... Ukilinganisha na machungwa tumekula utotoni??
  4. Msweet

    Status za WhatsApp zinatuonesha jinsi tulivyo na tunajichora tu kwa wengine

    Sasa mbaya zaidi mtu anatuma vijembe/ujumbe kwa mtu fulani ambaye hata hana muda wa kuangalia hizo status... Hivi mtu unapata wapi muda wa kubadilisha status kila siku na sio mfanyabiashara?? Huwa nashangaa sana.
  5. Msweet

    Home makers: Beauty and stylish

    Beautiful 😘🥰😍
  6. Msweet

    Naomba maelezo kuhusu kiwanda cha kukamua mafuta ya alizeti

    Biashara tamu sana hiii.... Pesa ipooo
  7. Msweet

    Hukumu ya kesi ya ndoa inakaribia kusomwa, anataka tugawane mali wakati alinikuta nimesimama. Sitaki hilo litokee, nachanganyikiwa

    A general comment ni kuwa mahakama ya mwanzo kuna mambo mengi sana😁... Sooo asiache kukata rufaa. Nafikiri nimeeleweka Mkuu.
  8. Msweet

    Sehemu za kazi ni sehemu hatari sana ingawa tunapokea chochote kitu

    Umesahau uchawi, ulozi na ushirikina
  9. Msweet

    Tatizo la kutopata choo

    Sasa nimelud huku kwangu mkoa mwingine Mimi kwakuwa niko pekeangu nasikia uvivu kula hivyo kwa siku nakula maramoja tu. Sili tena matunda, siñywi Tena maziwa hata mboga za majani napata kwa taabu Sasa Ile Hali imerudi ya kutopata choo Siwezi kuishi Maisha niliyokua nayaishi nyumbani kwasababu...
  10. Msweet

    Hukumu ya kesi ya ndoa inakaribia kusomwa, anataka tugawane mali wakati alinikuta nimesimama. Sitaki hilo litokee, nachanganyikiwa

    Nilipata a very bad experience mahakama ya mwanzo.... Sitaki kukumbuka... Asiache kukata rufaa.
  11. Msweet

    Hukumu ya kesi ya ndoa inakaribia kusomwa, anataka tugawane mali wakati alinikuta nimesimama. Sitaki hilo litokee, nachanganyikiwa

    Wala.... Nikupe moyo Mkuu.... Usijaribu mambo ya waganga. Mungu atakusimamia. Usimwache Mwenyezi Mungu Abadani/Asilani. Unafikiri hizo mali alikupa Mungu au nguvu za waganga.... Usijichanganye... All the BEST.
Back
Top Bottom