Tatizo nimekuwa nalo Kwa mwezi mmoja sasa, nilianza kujihisi dhaifu wa mwili kwa wiki kadhaa na pia kuanza kupata maumivu mepesi mepesi eneo la moyo pamoja na bega pamoja na mkono wa kushoto.
Katika kujitafakari nilipojipima blood pressure nikagundua kumbe ipo chini, hilo tatizo wiki ya pili sasa kila nikijipima tena hali ndio ile ile. Naombeni ushauri wakuu
Katika kujitafakari nilipojipima blood pressure nikagundua kumbe ipo chini, hilo tatizo wiki ya pili sasa kila nikijipima tena hali ndio ile ile. Naombeni ushauri wakuu