Iron Lady
JF-Expert Member
- Mar 4, 2008
- 4,071
- 1,363
JE WAJUA.??? NYANYA NA VIAZI
Athari kubwa ya NYANYA Na VIAZI ni uwepo Wa sumu inayoitwa SOLANINE[C15H73NO15] ambayo ni hatari Kwa mwanadamu.. Sumu hiyo ambayo hutengenezwa Na mimea hiyo hufanya ulinzi juu ya mashambulizi ya wadudu Na wanyama wasiokula majani.. Labda kitu Cha kujiuliza kwanini predators Kama simba,mbwa nk hawali mbogamboga, ni Kwa sababu ya uwepo Wa sumu harufu kama solanine ambayo kwao ni Kama mwanadam kunusa kinyesi..sumu hiyo ambayo hupatikana Kwa wingi Kwenye nyanya Na VIAZI huleta madhara Kwa mwanadamu.
..!!
kwa kuwa simba hawali majani kwa sababu ya kuwepo sumu hizo nao huzigundua kwa harufu,
mtu hula sumu hizo na kuwepo mwilini mwake,
simba hula mtu bila wasiwasi ambaye amekula sumu hizo na pengine bado zinaishi ndani yake,
je kwa nini simba akimla mtu ama wanyama walao majani hafi? au hadhuriki au sumu hizi zikishaliwa huwa si sumu tena?
nisaidieni