Recent content by mswe58

  1. M

    JAJI WARIOBA: Sielewi sababu ya kufutwa uchaguzi wa Zanzibar.

    Kwasababu hatuwezi kuikabidhi nchi kwa makaratasi ya kura,nchi tuliichukua kimapinduzi
  2. M

    Yaliyojiri Mikutano ya Dr. Magufuli, Dar es Salaam (Kigamboni, Mbagala, Temeke, Ubungo, Kinondoni)

    Njooo kijiweni uone Uda zinavyosomba mabwege kwa mdako Wa T shirt na buku tano
  3. M

    Kwanini Lowassa anakwepa kuzungumzia ufisadi?

    Je babaako alishawahi kukuelezea ulivyopatikana?kama mpaka umri huo ulionao hajakueleza unategemea nn kutoka kwa Lowasa?
  4. M

    Familia ya CDF Mwamunyange: Yupo nje ya nchi kwa majukumu ya Kitaifa

    Lembeli naye ni nduguze wamejitokeza kuhusiana na uvumi kuwa yu mahututi kutokana na ajali aliyopata?
  5. M

    Wolper aiaibisha UKAWA kwa mafuriko feki

    Reuters, una utindio Wa ubongo uliotukuka,hapa ni Arusha na inawezekana hupajui Arusha,hiyo picha imekuwa edited na IT Masaki,pole sana kwa kulishwa uharo fake
  6. M

    Vifaa kama BVR vyanaswa vikiandikisha Dar

    Victorie acha utoto ,watu wanapoka haki ya wapiga kura kwa kutengeneza vitambulisho fake vya kupigia kura kufanikisha goli la bafuni
  7. M

    Hali sasa ni tete kwa Lowassa, atengeneza mafuriko bandia baada ya Mh. Magufuli kuilipua Arusha

    Mtoa thread anagongwa c Burr,maana ana muhemko Wa makalio,yupo DSM habari ya kutengeneza mafuriko umeyaona wapi?
  8. M

    Kura yetu ni kwa Dkt John Pombe Magufuli

    Kura yako na nani ----- wewe,watu tunapata taabu za maisha kupitia ccm,wewe unashabikia inawezekana kula yako ni kwa shikamooo
  9. M

    Lowassa aumbuka Pemba

    Unaongea kama chizi Zanzibar ina bodaboda kibao,inaonekana hujawahi fika zenj,
  10. M

    Huyu ndiyo Lowasa, Jionee Mwenyewe!

    Haya tumemuona unasemaje sasa ?
  11. M

    GE2015 Lembeli tumbo joto Kahama

    Wewe kwako umefanya nn, mpaka sasa kwa familia yako?
  12. M

    Lowassa kuongoza kampeni ya 'Toroka Uje'

    Nimeipata hyo vikao vinaendelea ucku huu kwa ajili ya kuwapokea vigogo wapya kutoka ccm
  13. M

    Makamba: Lowassa ni mroho wa madaraka

    Wote Makamba na wanaye in waroho Wa madaraka haiwezekani family nzima ipo kwenye uongozi ndani ya chama
  14. M

    Taarifa kwa vyombo vya habari kutoka CCM kuhusu matukio ya Tanga

    Sera gani mnazinadi zaidi ya matusi mliyobarikiwa kuyamwaga kwa jamii,nakuonyesha ndiyo Sera zenu za ccm
  15. M

    Watanzania tusikubali wapigaji wachukue gesi yetu na mafuta kwa mgongo wa Lowassa

    Kwahyo tukubali zipigwe Maliasili na gesi kupitia ccm?
Back
Top Bottom