marco polo acha undorobo. lowassa anapokwenda kuomba kura anaongelea nchi nzima ya tanzania. bodaboda kama hakuna pemba ziko unguja na zinaitwa vipando. hivyo hajaumbuka ila wewe ndiye uliyeumbuka baada ya kuona umati wa watu kinyume na ulivyotarajia
Ratiba ya huyu jamaa imekaaje?
Unaongea kama chizi Zanzibar ina bodaboda kibao,inaonekana hujawahi fika zenj,
Sasa mm ndio nilikuwepo mkutanoni hapo nime edit tu.. Alikuwa akizungumzia boda boda upande wa Pemba... Mzee anatia huruma kwa kweli.
Huyu mzee kadri mda unavyosonga mbele naona hali yake inazid kuwa mbaya... Ni pale akiwa kisiwani Pemba alipotamka *BODA BODA WOTE NITAWAWATETEA * ikabidi wananchi wamshtue kwa kumwambia mzee Pemba hamna boda boda.... Ikambidi aombe radhi na kuendelea na mambo mengine.... Kukariri Kubaya jaman.
Sio kufika tu..hata kuishi nimeishi Kule na nimezitumiammNahisi hujawahi hata kufika Zanzibar ww.... Kwa taarifa yako hakuna vesper zinazofanya biashara Zenj.... Tatzo Lowasa amezidi kukariri, hadi sera mmmh! Majanga kwa kweli
Sio kufika tu..hata kuishi nimeishi Kule na nimezitumiaNahisi hujawahi hata kufika Zanzibar ww.... Kwa taarifa yako hakuna vesper zinazofanya biashara Zenj.... Tatzo Lowasa amezidi kukariri, hadi sera mmmh! Majanga kwa kweli
kanjanja tu...eti 'he have..badala ya he has..mnajidai kuhoji kiingereza cha magufuli mtu msomi wa Phd. wakati mko kaput kinoma. watu wajinga hadi mnahoji kiingereza cha mhitimu Phd udsm...mizungu mazingaombwe yenu mwisho barabarani. hapa kazi tu oct 25 tunachagua tingatinga magufuli.Una akili fupi sana, zanzibar ni sehemu ya muungano. He have to speak national matters sio ishu za jikoni kama akina magufuli kusonga ugali!
Kweli jmn lowasa huyu nmjuae amefikia hatua ya kupitiliza jukwaa kana kwamba hajui cha kufanya?
Dah
Sasa mm ndio nilikuwepo mkutanoni hapo nime edit tu.. Alikuwa akizungumzia boda boda upande wa Pemba... Mzee anatia huruma kwa kweli.
Sio kufika tu..hata kuishi nimeishi Kule na nimezitumia
Mzee anasinzia, na kuna jamaa yangu kanambia leo alichelewa kidogo kuchomwa ikaleta shida.
Dr Magufuri kamshika vibaya mkuu sio kosa lake... Tumuombee tu amalize salama uchaguzi akapumzike na wajukuu zake Monduli.
Huyu mzee kadri mda unavyosonga mbele naona hali yake inazid kuwa mbaya... Ni pale akiwa kisiwani Pemba alipotamka *BODA BODA WOTE NITAWAWATETEA * ikabidi wananchi wamshtue kwa kumwambia mzee Pemba hamna boda boda.... Ikambidi aombe radhi na kuendelea na mambo mengine.... Kukariri Kubaya jaman.