Hivi ilivyoandikwa Mithali 5:18 (Chemchem yako ibarikiwe nawe umfurahie mke wa ujana wako) hili nalo ni pepo la ngono?
Kweli Mhe. Dr. Mama Getrude Rwekatare anatakiwa afundishe waumini wake kwa kina zaidi.
Mpendwa, hivi wewe unajua unachoamini? Au unaamini unachojua?
Kama swali alilouliza huyu ndugu ni pepo la ngono, basi kufanya tendo la ndoa na mkeo/mumeo wa ndoa ni pepo la ngono pia.
Wewe unachekesha kweli, eti wafilisiwe kwa stail ya Prof. Kighoma Ali Malima, hii haitawezekana, hata Malima mwenyewe tuliyemfilisi leo Mtoto wake wa kutoka kwenye damu yake mwenyewe ndiye naibu waziri anayeshughulikia madini. Je tutafika?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.