Hii ishu ilishawah nitokea mm mwaka jana ..........hapo kuna mwanafunz mwenzako pesa zake zimekuja kwako so its better ukatoa taarifa mapema kwa wahasibu wa chuo chako....mana huyo mwanafunz akienda ku state loan board mkopo wako utakuwa suspended
Wadau,
Nimepangiwa hostel za Magufuli pale opposite na Mawasiliano.
Natafuta mwanafunzi wa UDSM anayetaka tufanye exchange nihamie main campus au mabibo hostel.
Co workshop tu...hata wanafunz wa B.E na E.E( environment eng) wanaosoma ardhi ..kuna baadhi ya koz na presentation wanafanyiaga UD.!!!
Sasa huyu boya cjui kwann anakiponda ud..
Msaada kwa mwenye ufahamu kidogo na hizi kozi QUANTITY SURVEYIN na COMPUTER ENGINEERING................
nahitaj kuchagua moja kat ya hzo(confirmation)....
So ipi may be nkichagua ctakuja kujitia baadae huko[emoji120]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.