popbwinyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,986
- 3,622
What is fine art and designingIyo kozi IPO ila sjuagi Kama watu wanaisomaga ..
Uyo dogo Ni kwamba kaangalia Minimum qualification zimempeleka uko? Au Ni Ana Dream ya Hiyo saanaa.
Nashindwa hata kushauri aisee..kwa dunia ya Sasa hiyo kitu haiko Tena ..Ni kama Kuuza BIBLE kwa Sheikh wa Msikiti wa MASJID![]()
Unajua watu mmekarili vibaya neno arts,
Fighting art
Building art
Art of war
Etc
Fine art ni sanaa ya UFUNDI,
Siyo kila kinachoitwa art ni cha kiwango mnachokarili,
Halafu unasoma ili iweje,
Hivi wote tumeumbwa kufanikiwa kwa njia moja?
Wote walosoma mnachosifia wanamaisha bora?
Wote walio ajiriwa wana maisha bora?
Mnafikiri kishabiki sana,
Mnafikiri kwa kujifariji mkijidhania mpo ktk njia sahihi ya kufanikiwa sababu mpo huko mnakodhani ni sahihi,huo ni uoga,
Ni km kelele za mlevi siyo ujasiri Bali uoga,
Nimemuuliza mleta mada,nimewauliza na ninyi mnaokashifu,what is FINE ART,
Nijibuni hili tuendelee,
Tatizo mmekarilishwa vibaya neno Art,
