Na ndio kazi ajira zake zipo nje nje kama amechaguliwa kusoma science!!!asije kwene ualimu ni kazi inayodharaulika sana kwa sasa
kwa nafasi 92 za wenye shahada nchi nzima?Na ndio kazi ajira zake zipo nje nje kama amechaguliwa kusoma science!!!
Kwann uache kwenda sasa¡!kwa nafasi 92 za wenye shahada nchi nzima?
Ndogo wangu kachaguliwa vyuo hivyo viwili, UDSM BA. EDUCATION NA SAUT BA. MASS COMM.
Wapi pako vizuri
BA Education anaweza hata kujiajiriNdogo wangu kachaguliwa vyuo hivyo viwili, UDSM BA. EDUCATION NA SAUT BA. MASS COMM.
Wapi pako vizuri