Uko vizuriNimechaguliwa udom na muce na vyote nimeconfirm vyote nasaidiwaje
mkuu kwa mujibu wa tcu dedline ya mwisho kuthibitisha ni tarehe kumi mwezi huu.naomba untumie namba zako unipe details namna ya kufanya kaka kesho ndo mwisho
ww c umesema umeconfirm Muce na Udom hyo Udsm vp???nashkuru kaka ila nimeshaeleza sababu kua ni ubovu wa simu yangu sikua na nia ya kuconfirm udsm kwanza
hajachaguliwa huyoWadau kuna ndugu yangu aliapply medicine ya udom na muhimbili lakini bado hajatumiwa hata taarifa ya kucomfirm, hapo sijui ndio itakuwaje?
Wasiliana na vyuo husika watakusaidia kwani unatakiwa kukomfirm kwa jinsi hii chuo ambacho hutaki kwenda: FULL NAME:......................FORM FOUR INDEX NUMBER................I COMFIM THAT I WILL NOT JOIN (JINA LA CHUO) ACADEMIC YEAR 2017/2018. Kwa Chuo unachotaka kujiunga na kusoma ni hivi: FULL NAME:......................FORM FOUR INDEX NUMBER................I COMFIM THAT I WILL JOIN (JINA LA CHUO) ACADEMIC YEAR 2017/2018. Thank YouNimechaguliwa udom na muce na vyote nimeconfirm vyote nasaidiwaje
Wasiliana hivyo vyuo watakusaidiaNimechaguliwa udom na muce na vyote nimeconfirm vyote nasaidiwaje
Nimechaguliwa udom na muce na vyote nimeconfirm vyote nasaidiwaje
Sasa umeconfirm vyuo viwili ili iweje[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] !!!!!Nimechaguliwa udom na muce na vyote nimeconfirm vyote nasaidiwaje
hajachaguliwa huyo
huwezi kuwa na one ya nne halafu udom na muhimbili wasikuchague huyo atakuwa muongo hana one ya nne muulize vizuri.Mkuu ana division one ya nne mkuu hapa vip hatachaguliwa kwel?
Unatakiwa ucomfirm kimoja tu ambacho umekichagua ukishacomfirm inachukua muda kidogo rudi baada ya lisaa urefresh tena kama ni tayar utaona hadi ile confirmation code ikionekanaNimeconfirm UDOM lakini naona msg haijawa derivered.Nani alive experience hii issue anisaidie.
Use the same code to cancel confirmation kwa chuo ambacho hikitakii...iweka hapo kama ulivyokuwa unaconfirmNimechaguliwa udom na muce na vyote nimeconfirm vyote nasaidiwaje