Kwa kgezo kua ni clouds tv ka ni kweli siungi mkono ila pamoja na ivo tangia mwanzo huu mtaa ckuukubali kwan wanyama yy ni nan apa tz? Wangapi wtanzania wmefa makubwa na hawajapewa mtaa?kwa nn uciitwe mtaa wa mbwana samata mtanzania alyejitahd?kwa nn uciitwe mtaa wa hashim thabit mtanzania...
Kweli ni kucheka tuu, ila kiukweli bora hata Mh. Jakaya alikua anaacha watu wanaiba weeeeee......na majizi yakawa mengi. Ila ajira hajaacha kutoa, sasa jamaa sahiv mh Magu watu anawanyoosha kimaslahi na kazi wamefutwa kibao ila ajira NOOOOO....... duuuh.
Hata mimi wadau nimeona the same e mail kutoka kwa hawa jamaa ila nimejaza tu ile form yao ya Entry nkawatumia, najiuliza pia interview gani ya kulipa hela nyingi na hujui hata inaenda kwa nani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.