kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,342
- 12,066
Inabidi nafsi imsute hata kama anatekeleza maagizo toka juuHKL kasoma sheria.
Inabidi nafsi imsute hata kama anatekeleza maagizo toka juuHKL kasoma sheria.
SawaPolice
Wacha tucheke tu japo wenzetu wanaumia, [emoji2] [emoji2] !chama la wanyonge hilo hahaha, nimesomea vishazi huru na tegemezi halafu naambiwa nijiajiri.
tukutane 2020
Kweli ni kucheka tuu, ila kiukweli bora hata Mh. Jakaya alikua anaacha watu wanaiba weeeeee......na majizi yakawa mengi. Ila ajira hajaacha kutoa, sasa jamaa sahiv mh Magu watu anawanyoosha kimaslahi na kazi wamefutwa kibao ila ajira NOOOOO....... duuuh.Wacha tucheke tu japo wenzetu wanaumia, [emoji2] [emoji2] !
Hapo anamnyoosha nani?Hongera sana magufuli.wanyooooshe hao ,werevu tushakuelewa
Zilikuwa za bodaboda na viwanda vidogovido yaaani charahani n.kKama mwaka wa fedha 2016/2017 ajira zilikuwa elfu 90 na hazikuonekana hata kwa tochi, itakuwaje kwa mwaka huu wa fedha hizo elfu 50 si itabidi utambikie mizimu ndo uzione.
Wewe ni mwerevu kumbe?Hongera sana magufuli.wanyooooshe hao ,werevu tushakuelewa
Science inahitaji maandalizi kuanzia msingi.THUMB UP! UMEONGEA MKUU, HAO NI nyoka na NYOKO HASWA!
HahaaNawapenda walimu,Mashem zangu,Mnajua kwanini? Ha ha loh,Ngoja msome namba kwanza alafu ntawaambia
Angalau Bongo movie imepata watu makini wa kuandika "script" na "kuperfom" jukwaani!Poleni sana walimi wa Arts mtafute plan B sasa