Recent content by msury

  1. M

    Mrejesho: Tulioripoti chuo hali si shwari jamani

    TULENI KAMA MMEMWAGIWA MAJI SI MLIIPENDA WENYEWEEEEE... ACHA NIENDELEE NA MOVIE
  2. M

    Mada maalum: Karibu tujadili masuala yote kuhusu Mikopo ya Elimu ya Juu

    SASA NDUGU ABAR YA KULIPA HIYO WANAJUANA ALOKOPA NA BODI NAMNA GANI WANALIPANA
  3. M

    Ajira zatema? vijana Andaeni CV

    AKAA NISHAJIKATIAGA TAMAA MAPEMAAAA SASA NIPO KIJIWENI NASUBIRI CHAKULA CHA MCHANA...
  4. M

    Naomba ushauri, sijachaguliwa na TCU

    NILIJARIBU KUFANYA HIVO ILLA WALINAMBIA MAOMBI YOTE YANATAKIWA KUFANYIKA TCU WAO KAMA WAO HAWAFANYI APPLICATION MWAKA HUU
  5. M

    Naomba ushauri, sijachaguliwa na TCU

    SISTER SKUFANYAGA APPLICATION MARA YA KWANZA NA SASA NAONA AWA JAMAA HAWAELEWK
  6. M

    Naomba ushauri, sijachaguliwa na TCU

    EEE NA SASA NIMEAMUA KUOMBA DIPLOMA
  7. M

    Naomba ushauri, sijachaguliwa na TCU

    TUKAANZE DIPLOMA TU SIS
  8. M

    Ajira serikalini kumwagwa

    wadau hivi karibuni tu nimetoka shamba huko nako hali ni mbaya sana nimepeleka matenga ya nyanya 12 pale soko la mabibo wananiambia watanipa elfu 60 tena apo kwa kunionea huruma sasa sina kazi nasubiri ajira za serikali zitolewe o_Oo_Oo_Oo_Oo_Oo_Oo_Oo_Oo_Oo_Oo_Oo_Oo_Oo_Oo_Oo_O
  9. M

    Tuliosoma sayansi na hisabati tukutane hapa twende kwa waziri Jaffo kuomba kufundisha sekondari

    hili nalo neno tutaishia kuskia tu ahadi nzuri nzuri
  10. M

    Msaada wa ku-save selection waugwana TCU

    asee ilo tatizo lipo kweli
Back
Top Bottom