Mkuu tujiajiri vipi ilihali tuba "profitable business ideas" lakini hatuna mitaki????Mkuu jiajiri, acha mawazo mgando wa kusubiri kuajiriwa, Hivi shule mnaendaga kusoma nini
Zipo mkuu subiri tuhakiki vyeti bandia halafu wakishakimbia wenye vyeti bandia mtakuja kuziba nafasi nyingi tu..Nimesikia kua baada ya uhakiki wa vyeti ambao wanafanya NIDA, pia uhakiki wa matumizi ya mshahara inafatia.
Mi nafikiri vijana watafute namna ya kujikomboa kutoka katika situation iliyopi sasa hivi tusipeane mategemeo "hewa"...!!
MNIOMBEEWee waache tu yan magu anatutesa huyu ila Mungu yupo
Kozi za massHafu wanao lalamika ajira humu ndani ni walimu
Mkuu kuwa specific unaposema jiajiri cos kuna fani huwezi jiajiriMkuu jiajiri, acha mawazo mgando wa kusubiri kuajiriwa, Hivi shule mnaendaga kusoma nini
Ajiajilije sasa unampa mtaji???Mkuu jiajiri, acha mawazo mgando wa kusubiri kuajiriwa, Hivi shule mnaendaga kusoma nini
Wacha namba isomweNasikitishwa na nyinyi mlioipigia kura CCM halafu mnalalama eti maisha magumu hakuna pa kushika.