Recent content by Msukusu

  1. Msukusu

    Masheikh huko wanasemaje kuhusu shida ya maji?

    Wapo huko wanakatana Vichwa kwenye visima
  2. Msukusu

    DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka kudhibiti wimbi la wahamiaji haramu hasa Wamalawi

    Hao ni wawekezaji, ukitaka serikali ikusikie wee waambie tu anayeleta uchochezi mbona chapu wanaibuka, Ila hao wamalawi hawana nao muda.
  3. Msukusu

    KERO Responded LATRA: Nauli Mwendokasi (DART) kwanini imepandishwa bila taarifa?

    Tumefanya hivyo ili kudumisha Amani, kwani mabeberu wanatuonea wivu
  4. Msukusu

    PostGE2025 Kama kweli Serikali imedhamiria pasiwe na maandamano D9 njia bora ni kupiga marufuku ya kutoka Siku hiyo kwa masaa muhimu

    Serikali Imeshatoa tamko Kuwa haipewi amri wala maelekezo. Labda serikali ya wanafunzi
  5. Msukusu

    Watanzania wengi hawajui kwamba aliesimamia na kupanga mchakato wa ya Dira ya Maendeleo ya Taifa 2000 - 2025 ni Prof. Mark Mwandosya!

    Kwenye Hii Dira Je Wananchi Tulishirikshwa? Kwa Ajili Ya Mawazo Na Mapendekezo, Ili Iweze Kupitishwa Au Sisi Wananchi Haituhusu?
  6. Msukusu

    Nina uraibu wa kutegemea sana chatGpt, nisaidieni namna ya kuacha

    Lengo la mzungu ni Kututawala Hadi mawazo yetu. Na Hilo katimiza. kilichobaki ni ushoga tu.
  7. Msukusu

    Tetesi: DJ Fetty aondolewa Clouds Media kwa madai ya Kuikosoa Serikali

    Hata pale mawinguni panahitajika reform
  8. Msukusu

    Nimefumaniwa na mwanachuo

    Mtafute Lamata Una Uandishi Mzuri.
  9. Msukusu

    Nilimuamini nikaenda kwake akataka kunibaka

    Kichwa Cha Chini Kikisimama, Cha Juu Hakifanyi Kazi
  10. Msukusu

    Ni nani Baba wa mtoto wa Irene Uwoya kwa sasa?

    Hujui Kuwa Mtoto Wa Kiume Ni Kipenzi Cha Mama. Na Mtoto Wa Kike Ni Kipenzi Cha Baba.
  11. Msukusu

    Nataka kujua kulikoni asee🤔

    Wanawake Wanapenda Sana Kushikwashikwa.
Back
Top Bottom