Recent content by msukuma12

  1. M

    Rais Magufuli apiga simu Clouds TV na kuwapongeza kwa kipindi cha Clouds 360

    Huo ni mtazomo wako tu coz hujui plan zake,je ikitokea akapiga simu na TV nyngine utasemaje????hapo amepiga clouds tu mapovu yanawatoka je angepiga simu TBC si ndio mngeongea mengi zaidi acheni fikra dhaifu
  2. M

    Ushauri kwa Rais Magufuli kuhusu vijembe/mipasho

    Ukweli unauma sana na bado mtaumia sana mnaojaribu kuwachafua watu waliteuliwa na kupewa nafasi mbali mbali za uongoz na huo ndio ukweli amewapa
  3. M

    Hakuna kilimo cha umwagiliaji,hakuna ajira,hakuna mvua za uhakika,unakamataje vijana wasio na kazi?

    Manyumbu mtaumia sana maana serikali hii inataka kila mtu awajibike kwa nafadi yake sasa nyie endelee kupinga kila jambo
  4. M

    Nani kama Makonda?

    Kwaiyo huo ndio ukimya kikwenu sio???
  5. M

    Rais Magufuli afanya ziara Benki Kuu, aongea na uongozi

    We si umeona sasa kumbe BOT kuna wafanyakazi ambao hawana sifa za kufanya kazi hapo na watu wanalipa madeni bila kufuata utaratibu
  6. M

    Mwanza itatingishika Lowassa atakapowasili kesho!

    Tafuteni kick nyingine #hapa kazi tu majungu yenu huko huko
  7. M

    Mhe Rais, Ziara za Kushtukiza Imetosha sasa Fanya za Kimkakati

    Huoni kama umekurupuka na hili andiko lako???
  8. M

    Rais Magufuli afanya ziara Benki Kuu, aongea na uongozi

    Huoni kama wewe ndio umekurupuka hapo
  9. M

    Meli za mizigo zapungua bandari Dsm

    Kwaiyo point yako ni nini hasa?
  10. M

    Hongera Rais Kwa kuhutubia Kwa kiswahili

    Huo mtazamo wako mkuu,coz kiingereza sio lugha rasmi kwetu so raisi kuongea kiswahili haimaanishi hajui kiingereza but ameamua kuienzi lugha yetu,unatakiwa kuwa mzalendo mkui
  11. M

    Harambee na michango nyumba za ibada zimeishia wapi?

    Kipindi uchaguzi kimeisha tusubirie tena 2020
  12. M

    Mbowe ajitosa kuwatetea Watumishi wa Umma waliofukuzwa

    Huyo allikua mmoja ya wale walikua wakilalamikia watendaji na watumishi wabovu but leo tunaona unafiki wake baada ya kuona magufuli anafanyakazi na kutatua kero za mwananch,yale maneno ya magufuli aliyoyasema jana arusha wakati wanazindua mradi wa barabara ndio hayo
Back
Top Bottom