Huo ni mtazomo wako tu coz hujui plan zake,je ikitokea akapiga simu na TV nyngine utasemaje????hapo amepiga clouds tu mapovu yanawatoka je angepiga simu TBC si ndio mngeongea mengi zaidi acheni fikra dhaifu
Huo mtazamo wako mkuu,coz kiingereza sio lugha rasmi kwetu so raisi kuongea kiswahili haimaanishi hajui kiingereza but ameamua kuienzi lugha yetu,unatakiwa kuwa mzalendo mkui
Huyo allikua mmoja ya wale walikua wakilalamikia watendaji na watumishi wabovu but leo tunaona unafiki wake baada ya kuona magufuli anafanyakazi na kutatua kero za mwananch,yale maneno ya magufuli aliyoyasema jana arusha wakati wanazindua mradi wa barabara ndio hayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.