Harambee na michango nyumba za ibada zimeishia wapi?

Harambee na michango nyumba za ibada zimeishia wapi?

Tumuulize Lowassa hili swali.

Hebu Salary slip, Mmawia na wengineo tusaidieni kumuuliza Lowassa haya maswali...
 
Ghafla zile neema kwenye nyumba za ibada kutoka kwa watu flani waliokua wakitafuta madaraka zimekoma.

Msimu wa neema na mavuno mpaka 2020.

Nabaki kujiuliza maswali haya;

1. Je kumtolea muumba wako ni mpaka ukiwa na shida ya nafasi flani ya madaraka?

2. Upendo na ukaribu kwa taasisi za Dini ni wakati was chaguzi tu.

3. Mwenyenzi Mungu asubiri mpaka 2020 ndio tumwomeshe namna tunavyojali watumishi na nyumba zake za ibada?

Rai yangu kwa nyumba za ibada na kwa watumishi wa Mungu kww Dino zote kuwakataa watu wore wanaojiweka karibu yao vipindi vya uchaguzi mkuu pekee, haileti picha nzuri kwa wahusika.
dunia hii inawasanii ambao naamini huwezi kuwapata hata mbinguni.
 
Mkuu matukio yote usiyaseme tu mdomoni weka Na ushahidi hapa, usipoweka utakuwa miongoni mwa mavuvuzela wa Lumumba
wakati mwingine najiuliza hivi wewe una matatizo gani? Maana swali limeulizwa kwa watoa sadaka wewe unaongelea vitu vingine. Viroba vimekuharibu akili yako
 
wakati mwingine najiuliza hivi wewe una matatizo gani? Maana swali limeulizwa kwa watoa sadaka wewe unaongelea vitu vingine. Viroba vimekuharibu akili yako
Naona umerudi toka kisiwa cha kojan, karibu sana mkuuu, pia bunge lijalo tunaomba ile hoja ya kuturuhusiwa bangi ijadiliwe tena upya kwa maslahi mapana ya taifa
 
Huko unakoelekea mkuu unataka hapa pachafuke maana kuna watakaokuja hapa wakidai yale matukio ya yule jamaa yenu nayo yarudiwe, sasa sitaki kuyasema hapa maana unaelewa nini namaanisha
 
Naona umerudi toka kisiwa cha kojan, karibu sana mkuuu, pia bunge lijalo tunaomba ile hoja ya kuturuhusiwa bangi ijadiliwe tena upya kwa maslahi mapana ya taifa
Sidhani kama ukawa wana hoja zaidi ya kuongeza shanga tu viunoni...na tutakua tunazikata every now and then...
 
Sidhani kama ukawa wana hoja zaidi ya kuongeza shanga tu viunoni...na tutakua tunazikata every now and then...
Bangi inaongeza pato LA Taifa tutaka huo mjadala urudi mjengoni kuhakikisha pato LA taifa linaongezeka ili tuweze kufanikisha elimu bure kwa wenetu, bangi peke yake itafanikisha mpango wa elimu bure Na itaondoa huu usumbufu wa changia changia
 
Wanasiasa wanachoweza kukwambia cha kweli ni salam tu, inasikitisha wamewaloby hadi viongozi wetu wa kidini.
Hata salamu inabidi kuwa nao makini,akikusalimia habari ya asubuhi inabidi utoke nje kuangalia kama ni asubuhi
 
Bangi inaongeza pato LA Taifa tutaka huo mjadala urudi mjengoni kuhakikisha pato LA taifa linaongezeka ili tuweze kufanikisha elimu bure kwa wenetu, bangi peke yake itafanikisha mpango wa elimu bure Na itaondoa huu usumbufu wa changia changia
Nipe faida kumi za shanga, maana inaonekana wenzetu wa ukawa mmetaumbua faida zake kuliko hasara, kiasi kwamba limekua vazi rasmi la kambi ya upinzani..
 
Nipe faida kumi za shanga, maana inaonekana wenzetu wa ukawa mmetaumbua faida zake kuliko hasara, kiasi kwamba limekua vazi rasmi la kambi ya upinzani..
Ingekuwa vyema nawe ukanieleza nni faida za kufuga fisi hata kutembea nawe ktk mikutano yenu, km wewe mwanaume unajua faida za shanga
 
Ingekuwa vyema nawe ukanieleza nni faida za kufuga fisi hata kutembea nawe ktk mikutano yenu, km wewe mwanaume unajua faida za shanga
Watanzania wa ukawa ndivyo mlivyo mnajibu maswali kwa kuuliza maswali, inaelekea tutakesha hapa maana huna majibu ya maswali yangu, nimekwambia unipe faida kumi za shanga according to UKAWA...nasubiria jibu la swali langu.
 
Mikutano ya kuwashukuru wapiga kura ilisimamishwa.Wakienda kwenye nyumba za ibada na kutoa michango itatafsiriwa wanawashukuru wapiga kura...TAKE CARE.....ona Umeya dar na kesi ya kupigwa RAS.
 
Watanzania wa ukawa ndivyo mlivyo mnajibu maswali kwa kuuliza maswali, inaelekea tutakesha hapa maana huna majibu ya maswali yangu, nimekwambia unipe faida kumi za shanga according to UKAWA...nasubiria jibu la swali langu.

Wataka majibu gani we we? fisi amekuharibuni akili hta kujielewa mnashindwa, tabia yenu kulisha watu wameneno, uzushi, uongo na unafiki ni desturi yenu, bure kabisa,
 
Nimecheka sana ! unajuwa bhana pesa inanguvu sana unafahamu hata yuda alimsariti yesu
 
Jamii forum inapotezA ladha Hoja ilipaswa owe Fulani kaalikwa amekattaa au ametutolea njeee!!!
Mengine Ni kufuraisha genge !!
 
Back
Top Bottom